1.Simu kupata moto
Ikiwa unatumia simu yako na inapata moto ni moja kati ya dalili kuwa inafanya kazi kupita uwezo wake, hii inaadhiri battery
2.Power bank
Baadhi ya power bank zinaharibu battery kutokana kuwa na ubora mbovu au kuwango cha umeme kinachotoa
3.Charge
Zingatia charge ya simu...