dna

  1. Kondeni0112

    Kuna haja ya kupima DNA watoto?

    Habari ndugu zangu Kuna haja ya kupima DNA watoto ulio walelea na kuishi nao kama watoto wako kweli? Kwa upande wangu naona sio sawa, kama umehisi mtoto sio wako unakausha tu, kuna watu wengi wameadopt watoto na wana amani telee.. Watu wanadai sababu inayofanya wa wafanye DNA test ni ili...
Back
Top