Mwanapatholojia James C. Jenkins alikuwa mmoja wa madaktari wanne waliofanya uchunguzi wa mwili wa JFK baada ya kuhamishiwa katika Hospitali ya Naval ya Bethesda.
Akieleza katoka uchunguzi wa kifo cha JFK baada ya miaka 55 kwamba aligundua kuwa fuvu hilo lilifanyiwa upasuaji kabla halijafika...