job

  1. Urban Edmund

    Unafanya kazi gani ? Ulisomea nini ? uliipenda kazi gani ?

    mimi Binafsi ninafanya kazi za kijasiriamali, kilimo na kufundisha (Tuition) but by professional ni Pharmaceutical Personnel (mtaalamu wa madawa) nilitamani niwe Electronics Engineer vipi kwa upande wako @Leejay @Gily @mshamba_mkuu , @Kilimbatz , @Hakimu
Back
Top