Kifo ni fumbo kubwa sana kwa mwanadamu japo wako wengi waliojaribu kufumbua fumbo la kifo wameshindwa. Hata wanasayansi wakiobobea wamejaribu kutengeneza maisha ya Kudumu ila kifo kikawaita.
Hapa kupitia uzi huu tutawakumbuka ndugu zetu au marafiki zetu waliotangulia mbele za haki kwa kuwapa...
Zambia. Taarifa za kusikitisha kutoka nchini Zambia zilianza kuenea wiki iliyopita baada ya mtoto wa mwezi mmoja na wiki tatu kufariki dunia baada ya wazazi wake kumwangukia wakiwa wanapigana.
Tovuti ya Diamond Tv ya nchini humo imesema tukio hilo limetokea katika kijiji cha Reuben Wilaya ya...