Kifo ni fumbo kubwa sana kwa mwanadamu japo wako wengi waliojaribu kufumbua fumbo la kifo wameshindwa. Hata wanasayansi wakiobobea wamejaribu kutengeneza maisha ya Kudumu ila kifo kikawaita.
Hapa kupitia uzi huu tutawakumbuka ndugu zetu au marafiki zetu waliotangulia mbele za haki kwa kuwapa...