WanaKijiji wazima huko?
Huku poa kabisa
Leo ninaswali kwenye Muziki nani unajua hata aandike ngoma amelala lazima mashairi ya nyooke, mimi wangu hawa hapa wa tatu
1.Diamond Platnumz
2.Harmonize
3.Zuchu
1.Simu kupata moto
Ikiwa unatumia simu yako na inapata moto ni moja kati ya dalili kuwa inafanya kazi kupita uwezo wake, hii inaadhiri battery
2.Power bank
Baadhi ya power bank zinaharibu battery kutokana kuwa na ubora mbovu au kuwango cha umeme kinachotoa
3.Charge
Zingatia charge ya simu...
WAHUSIKA
Gerbet == @Gily
Mkuu wa kituo == @mshamba_mkuu
Muuza mahindi == @Analyse
Wahusika wengine watakuja mbeleni
KIJIJI CHA WAKAMOTO:
Kijana msomi Gerbet anamaliza masomo yake ya udakatari na kupangiwa katika kijiji kiitwacho WakaMoto kwa ajili ya kupata kazi hapo, safari inaanza...