mimi Binafsi ninafanya kazi za kijasiriamali, kilimo na kufundisha (Tuition) but by professional ni Pharmaceutical Personnel (mtaalamu wa madawa) nilitamani niwe Electronics Engineer vipi kwa upande wako
@Leejay @Gily @mshamba_mkuu , @Kilimbatz , @Hakimu
Waraap
Wakati niko shule nilikuwa nachomekeq shati mbele tu🤣 Kipindi hicho ilikuwa swagger kinyama.
Wenzangu na mimi ambao tushawahi vaa durak mpo humu😀
Hebu tueleze ulikuwa na swagger zip kipindi uko shule ?