You are using an out of date browser. It may not display this or other websites correctly. You should upgrade or use an alternative browser.
watoto
Welcome to our community
Looks like you don't have an account yet? Be apart of something great, join today! Create account to get more access like posting, reacting to others helpful post and your own private message Register Or Login
Umri ambao mwanaume ana uzazi mkubwa zaidi ni kati ya miaka 22 na 25. Inapendekezwa kuwa na watoto kabla ya kufikia umri wa miaka 35. Baada ya umri huu, uzazi wa kiume huanza kudhoofika. Baada ya miaka 35, manii inaweza kusababisha ujauzito ambapo mabadiliko yanaweza kutokea. Zaidi ya hayo...
Inatokea mara chache sana kwa mwanamke kupata mimba mbili kwa wakati mmoja, au kupata ujauzito akiwa mjamzito.
Wataalamu wanaorodhesha sababu tatu za kibaiolojia ambazo zinapelekea ugumu wa hilo kutokea:
1. Mayai kutozalishwa ama kutoka. Kawaida mwanamke anahitaji kutoa yai lenye afya ili...
Habari ndugu zangu
Kuna haja ya kupima DNA watoto ulio walelea na kuishi nao kama watoto wako kweli? Kwa upande wangu naona sio sawa, kama umehisi mtoto sio wako unakausha tu, kuna watu wengi wameadopt watoto na wana amani telee..
Watu wanadai sababu inayofanya wa wafanye DNA test ni ili...