Baraza la Sanaa, Sensa ya Filamu na Utamaduni Zanzibar limemfungia Msanii wa Bongo Fleva Zuhura Othman Suod (ZUCHU) kwa muda wa miezi sita na kulipa faini ya shiling milioni moja za kitanzania kutokana na kuimba nyimbo zisizokuwa na maadili na maudhui mazuri kwa vijana wa kizanzibar.
Kifungo...