Chemsha Bongo: Je, baba huyu alikuwa na watoto wangapi?

Welcome to our community

Looks like you don't have an account yet? Be apart of something great, join today! Create account to get more access like posting, reacting to others helpful post and your own private message Register Or Login

Gily

KF Founder & Dragon IGM
KF Founder
KF Moderator
Joined
Jun 4, 2023
Messages
7,609
Reaction score
26,404
Points
113
Hata mimi nimefikiria the same mzee ana watoto saba
 

Similar threads

Kijana aliyekuwa karibu na dereva aliulizwa ni nani kwako anayeendesha? akajibu "kaka mkubwa wa mjomba wake na dereva ni mjomba wangu" Je dereva ni nani kwa kijana yule?
Replies
1
Views
194
Chidola na Chilemba ni watoto mapacha. Kesho Chidola atasherekea siku yake ya 5 ya kuzaliwa. Chilemba yeye itabidi asubiri mpaka mwaka ujao pale atakapofikisha umri wa miaka mitano ndio asherekee siku yake ya kuzaliwa. Je, Leo ni tarehe ngapi?
Replies
3
Views
587
Binti Kidawa alikwenda dukani kununua mkate na noti ya 1000. Akakuta mkate unauzwa 700, akatoa elfu 1 na kumpa muuzaji. Muuzaji hakuwa na chenji ikabidi akaombe chenji dukani kwa Manka. Baada ya muda kidogo Binti Kidawa akarudi kwa muuza duka na kumwambia noti ya elfu 1 aliyompa ni feki. Muuza...
Replies
11
Views
276
Mwanamke mmoja aliingia Dukani na kuiba Sh.100 bila mwenye Duka kujua. Baada ya dk5 akarudi na kununua kitu chenye thamani ya Sh.70 kwa kutumia ile hela aliyoiba. Mwenye duka akamrudishia chenji ya Sh.30 Mwenye Duka Kapoteza Sh. Ngapi? A: 30 B: 70 C: 100 D: 130 E: 170 F: 200
Replies
1
Views
169
Nina mayai sita Nimevunja mawili Nimekaanga mawili Nimekula mawili Je, nimebakiwa na mayai mangapi?
Replies
2
Views
180

Donations

Total amount
$0.00
Goal
$300.00
Back
Top Bottom