- Joined
- Jun 4, 2023
- Messages
- 7,617
- Reaction score
- 26,429
- Points
- 113
Wasalaaam!
Chemsha Bongo:
-Maswali ambayo huhitaji mtu kutumia akili na ujuzi kuyajibu.
-Mafumbo ni kauli zenye maana iliyofichika na hujumuisha vitendawili na chemshabongo.
Mifano:
a) Kilo moja ya chuma na kilo moja ya nyama ipi nzito?
b) Kipungu alipita juu, mama na ndege wawili wakamwangalia. Je macho mangapi yalimuona kipungu?
Hapa tutakuwa tunatupia chemsha bongo ili kuchangamdha akili zetu. Kama kuna mtu yeyote ana chemsha bongo tupia wanakijiji wachemshe bongo zao.
Karibuni sana wanakijiji
Chemsha Bongo:
-Maswali ambayo huhitaji mtu kutumia akili na ujuzi kuyajibu.
-Mafumbo ni kauli zenye maana iliyofichika na hujumuisha vitendawili na chemshabongo.
Mifano:
a) Kilo moja ya chuma na kilo moja ya nyama ipi nzito?
b) Kipungu alipita juu, mama na ndege wawili wakamwangalia. Je macho mangapi yalimuona kipungu?
Hapa tutakuwa tunatupia chemsha bongo ili kuchangamdha akili zetu. Kama kuna mtu yeyote ana chemsha bongo tupia wanakijiji wachemshe bongo zao.
Karibuni sana wanakijiji