Welcome to our community

Looks like you don't have an account yet? Be apart of something great, join today! Create account to get more access like posting, reacting to others helpful post and your own private message Register Or Login

Muhindi Wa Kuchoma

Well-known member
Platinum Villager
Joined
Jul 9, 2023
Messages
3,821
Reaction score
3,805
Points
113
Kipindi ambacho dunia imekuwa sawa na kijiji kidogo, mawasiliano ni rahisi mno. Mpaka leo hayajatolewa majibu; kwa nini ilikuwa vile. Ilitokeaje? Ukweli ni upi?

Taarifa zikaanza kutolewa mitandaoni kuwa Rais Magufuli alikuwa na hali mbaya kiafya. Ikaelezwa alifikishwa mpaka Kenya. Wapo waliodai alipelekwa India.

Serikali yake ilitangaza kuwa Magufuli alifariki Jumatano Machi 17 wakati alipokuwa akipokea matibabu katika hospitali moja Dar. Hata hivyo inaripotiwa kuwa Magufuli huenda alifariki Machi 11 lakini serikali ikadinda kuweka hilo wazi. Kiongozi wa upinzani nchini Tanzania Tundu Lissu ni miongoni mwa wanamtandao ambao wanaamini ukweli kuhusu kifo hicho ulifichwa.

Magufuli alifariki Mzena? Tanzania
Kuna mtu anaitwa Evarist Chahali, yeye hujitambulisha kama mtumishi wa zamani wa Idara ya Usalama wa Taifa na alishapata kufanya kazi ya uchambuzi wa masuala ya siasa na jamii kwenye magazeti kadhaa nchini. Chahali ndiye alikuwa wa kwanza kusema Rais Magufuli alishafariki dunia. Chahali akaeleza kuwa taarifa za Rais Magufuli kupelekwa India hazikuwa za kweli, bali alifia Hospitali ya Viongozi, Mzena, Kijitonyama, Kinondoni, Dar es Salaam.

(Soma: https://www.mwananchi.co.tz/mw/haba...agufuli-kilivyotoa-funzo-usiri-mifumo-3638688)


Magufuli alifariki nchini Kenya? (imeripotiwa na TUKO - Kenya)
"Duru ziliniarifu kuwa Magufuli alifariki Kenya Alhamisi na mwili wake kusafirishwa Tanzania kusubiri masuala ya mageuzi serikalini kupangwa," Lissu alisema.

Kulingana na duru katika hospitali moja jijini Nairobi, Magifuli alifika humu akiwa katika hali mbaya na madaktari kujaribu kuyaokoa maisha yake. Hata hivyo hali ilionekana ngumu na hospitali hiyo ikashauri watafute matibabu kwingine ya dharura zaidi. Hayo hayakuwezekana na madaktari wakasema hakuna linaloweza kufanyika kwa kiongozi huyo.

(Soma: https://kiswahili.tuko.co.ke/406273...uenda-alifariki-lakini-serikali-ikaficha.html)

Magufuli alifariki nchini India?
Kiongozi mkuu wa upinzani Tanzania, Tundu Lissu, amesema Alhamisi kuwa rais John Magufuli, ambaye hajaonekana hadharani kwa karibu wiki mbili, yuko India akitibiwa virusi vya corona na kwamba yuko katika hali mbaya.

(Soma: https://www.dw.com/sw/lissu-asema-magufuli-amehamishiwa-india-akiugua-covid-19/a-56841246)

2019-12-13-iss-today-magafuli-banner.jpg
 

Muhindi Wa Kuchoma

Well-known member
Platinum Villager
Joined
Jul 9, 2023
Messages
3,821
Reaction score
3,805
Points
113
hujajibu swali
Kujua ukweli ni lengo jema kabisa, kwa nini?

Vyombo vya habari vingi sasa vimeunganishwa katikq kundi baya la udanganyifu, uwongo, na masilahi ya kibinafsi. Waandishi wa habari wanahitaji mizozo ili kuigiza habari, na maafisa wa serikali wanahitaji kuonekana kujibu mizozo. Mara nyingi, migogoro si migogoro bali ni uzushi wa pamoja. Taasisi hizo mbili zimenaswa katika mtandao unaofanana wa uwongo hivi kwamba vyombo vya habari haviwezi kueleza umma ukweli na serikali haiwezi kutawala ipasavyo.

Hiyo ni tasnifu iliyotolewa na Paul H. Weaver, mwanasayansi wa zamani wa siasa (katika Chuo Kikuu cha Harvard), mwandishi wa habari (katika jarida la Fortune), na mtendaji mkuu wa mawasiliano ya kampuni (katika Kampuni ya Ford Motor), katika uchanganuzi wake wa uchochezi unaoitwa Habari na Utamaduni wa Uongo. : Jinsi Uandishi wa Habari Unavyofanya Kazi Kweli.
 

mshamba_mkuu

New member
Joined
Jun 4, 2023
Messages
1,563
Reaction score
4,525
Points
0
Naomba nimjibie

Ni hivi watu wana haki ya kujua ukweli. Kama amefariki kiongozi wa nchi ni wajibu wa wahusika kutoa taarifa za ukweli.
sio kila saa ukweli ni mzuri, labda kuna kitu kingeharibika ndo maana wanawaficha...
 

mshamba_mkuu

New member
Joined
Jun 4, 2023
Messages
1,563
Reaction score
4,525
Points
0
Kujua ukweli ni lengo jema kabisa, kwa nini?

Vyombo vya habari vingi sasa vimeunganishwa katikq kundi baya la udanganyifu, uwongo, na masilahi ya kibinafsi. Waandishi wa habari wanahitaji mizozo ili kuigiza habari, na maafisa wa serikali wanahitaji kuonekana kujibu mizozo. Mara nyingi, migogoro si migogoro bali ni uzushi wa pamoja. Taasisi hizo mbili zimenaswa katika mtandao unaofanana wa uwongo hivi kwamba vyombo vya habari haviwezi kueleza umma ukweli na serikali haiwezi kutawala ipasavyo.

Hiyo ni tasnifu iliyotolewa na Paul H. Weaver, mwanasayansi wa zamani wa siasa (katika Chuo Kikuu cha Harvard), mwandishi wa habari (katika jarida la Fortune), na mtendaji mkuu wa mawasiliano ya kampuni (katika Kampuni ya Ford Motor), katika uchanganuzi wake wa uchochezi unaoitwa Habari na Utamaduni wa Uongo. : Jinsi Uandishi wa Habari Unavyofanya Kazi Kweli.
hahaha

ndo siasa sasa, labda kuna vitu vikijulikana amani ya nchi itapotea
 

Gily

KF Founder & Dragon IGM
KF Founder
KF Moderator
Joined
Jun 4, 2023
Messages
7,609
Reaction score
26,404
Points
113
sio kila saa ukweli ni mzuri, labda kuna kitu kingeharibika ndo maana wanawaficha...
Hizi nadharia za Afrika. Unajua nini maana ya Transparency? Demokrasia inahitaji Transparency, ikiwa kuna mtu au watu wanatumia nguvu kupindisha ukweli au kuficha ukweli ni tatizo kubwa sana.

Hilo swala la kuzusha kifo hata kama imekuwa kweli si jambo la kiungwana. Kuna haja ya Wizara ya Tamaduni kusimamia tamaduni za kiafrika kwa sababu wengi wetu tumekuwa tunaishi tamaduni za kizungu.
 

mshamba_mkuu

New member
Joined
Jun 4, 2023
Messages
1,563
Reaction score
4,525
Points
0
Hizi nadharia za Afrika. Unajua nini maana ya Transparency? Demokrasia inahitaji Transparency, ikiwa kuna mtu au watu wanatumia nguvu kupindisha ukweli au kuficha ukweli ni tatizo kubwa sana.

Hilo swala la kuzusha kifo hata kama imekuwa kweli si jambo la kiungwana. Kuna haja ya Wizara ya Tamaduni kusimamia tamaduni za kiafrika kwa sababu wengi wetu tumekuwa tunaishi tamaduni za kizungu.
sera tu hizo ila siasa naona ni complicated sana
 

Similar threads

Katika makuzi yetu tumekuwa na marafiki wa udogoni na marafiki wa shuleni. Ni raisi sana taarifa zako kuvuja kutoka kwa watu uliokua nao au kusoma nao. Kumekuwa na taarifa kuwa raisi mstaafu wa Marekani Barack Obama ni mzaliwa wa Kenya. Kulingana na taarifa hizi Obama hakustahili kugombea...
Replies
12
Views
231
Kumekuwa na madai kutoka kwa watumiaji wa Twitter na tovuti mbalimali kuwa hati ya wapiga kura kutoka jimbo la Illinois nchini Marekani na picha ya Michelle Obama inathibitisha kuwa mke wa rais wa zamani ni mwanamume. Ingawa taarifa hizi zimekanushwa na Bodi ya Uchaguzi ya Jimbo la Illinois...
Replies
14
Views
443
Mwanapatholojia James C. Jenkins alikuwa mmoja wa madaktari wanne waliofanya uchunguzi wa mwili wa JFK baada ya kuhamishiwa katika Hospitali ya Naval ya Bethesda. Akieleza katoka uchunguzi wa kifo cha JFK baada ya miaka 55 kwamba aligundua kuwa fuvu hilo lilifanyiwa upasuaji kabla halijafika...
Replies
7
Views
222
Practical Explanation ( For Example ) :- `1st of all can you tell me every single seconds detail from that time when you born ?? ( i need every seconds detail ?? that what- what you have thought and done on every single second ) can you tell me every single detail of your `1 cheapest Minute Or...
Replies
8
Views
111
Tanga. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameiagiza Wizara ya Nishati kuhakikisha inaratibu utekelezaji wa agizo lililotolewa na Rais wa awamu ya tano, hayati John Magufuli la mikoa ya kanda ya kaskazini kuagiza mafuta kutoka ghala la Kampuni ya GBP lililopo jijini Tanga. Alitoa agizo hilo jana...
Replies
4
Views
782

Donations

Total amount
$0.00
Goal
$300.00
Back
Top Bottom