- Jun 4, 2023
- 7,609
- 26,404
- 113
Katika makuzi yetu tumekuwa na marafiki wa udogoni na marafiki wa shuleni. Ni raisi sana taarifa zako kuvuja kutoka kwa watu uliokua nao au kusoma nao.
Kumekuwa na taarifa kuwa raisi mstaafu wa Marekani Barack Obama ni mzaliwa wa Kenya. Kulingana na taarifa hizi Obama hakustahili kugombea uraisi wa marekani.
Raisi mstaafu wa marekani Trump pia amesikika akisema kuwa Obama hakuwa mzaliwa wa marekani. Alifika mbali kabisa kwa kumaukuma Obama aonyeshe cheti chake cha kuzaliwa.
Katika hali ya kawaida kama kukanusha taarifa hizi Obama angeweza kuonyesha cheti chake cha kuzaliwa kipindi kile cha kampeni kuonyesha kuwa ni taarifa za uongo. Mpaka baadae kabisa baada ya shutuma kuzidi akaamua kiwekwe hadharani
Vipi maoni yako kuhusu taarifa hizi? Je kipi umesikia kuhusu taarifa hizi?
Kumekuwa na taarifa kuwa raisi mstaafu wa Marekani Barack Obama ni mzaliwa wa Kenya. Kulingana na taarifa hizi Obama hakustahili kugombea uraisi wa marekani.
Raisi mstaafu wa marekani Trump pia amesikika akisema kuwa Obama hakuwa mzaliwa wa marekani. Alifika mbali kabisa kwa kumaukuma Obama aonyeshe cheti chake cha kuzaliwa.
Katika hali ya kawaida kama kukanusha taarifa hizi Obama angeweza kuonyesha cheti chake cha kuzaliwa kipindi kile cha kampeni kuonyesha kuwa ni taarifa za uongo. Mpaka baadae kabisa baada ya shutuma kuzidi akaamua kiwekwe hadharani
Vipi maoni yako kuhusu taarifa hizi? Je kipi umesikia kuhusu taarifa hizi?