Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Staa huyo wa muziki wa Bongo Fleva na CEO wa lebo ya WCB na Mkurugenzi wa Wasafi Media Diamond Platnumz ameandika kuwa
“Nakumbuka Mwaka Mmoja wakati unafanya kazi ya Saloon kariakoo, tukiwa tunarudi usiku majira kama ya saa sita hivi kwenye Daladala nikakwambia “Usijali mama Kuna siku nitatoboa kwenye mziki na nitakufungulia na wewe Saloon yako”…Vyote naweza visahau lakini maneno haya siwezi yasahau, kwasababu nilikuambia kwa uchungu nilipokuona unanitazama kwa huruma na Uchungu, kwa jinsi nilivyokua nahangaika na maumivu ya kiti chamoto kwenye Daladala ya Hiace… Nakupenda na Nakuheshimu sana, na siku zote ujue kwamba wewe ndio sababu ya mimi Kupambana usiku na mchana ili kuhakikisha unapata furaha ambayo uliikosa kwa muda mrefu…Happy Birthday Mom, Mwenyez Mungu akupe Maisha marefu yenye Furaha, Afya na Amani @mama_dangote
”
Bongo5
“Nakumbuka Mwaka Mmoja wakati unafanya kazi ya Saloon kariakoo, tukiwa tunarudi usiku majira kama ya saa sita hivi kwenye Daladala nikakwambia “Usijali mama Kuna siku nitatoboa kwenye mziki na nitakufungulia na wewe Saloon yako”…Vyote naweza visahau lakini maneno haya siwezi yasahau, kwasababu nilikuambia kwa uchungu nilipokuona unanitazama kwa huruma na Uchungu, kwa jinsi nilivyokua nahangaika na maumivu ya kiti chamoto kwenye Daladala ya Hiace… Nakupenda na Nakuheshimu sana, na siku zote ujue kwamba wewe ndio sababu ya mimi Kupambana usiku na mchana ili kuhakikisha unapata furaha ambayo uliikosa kwa muda mrefu…Happy Birthday Mom, Mwenyez Mungu akupe Maisha marefu yenye Furaha, Afya na Amani @mama_dangote
Bongo5