- Joined
- Jun 4, 2023
- Messages
- 7,628
- Reaction score
- 26,450
- Points
- 113
Swahili Version:
Wanaume hawa walikataa kumpisha mwanamke kukaa. Walidai kuwa wamechoka na mwanamke anaweza kusimama. Pia walisema mwanamke anaweza kufanya kile ambacho mwanaume anaweza kufanya, wakimanisha anaweza kusimama. Kwa hiyo hawakuona inafaa kumpa kiti. Mmoja wa wanaume alisema sisi wanaume tunafanya kazi ngumu ambapo usawa wa kijinsia hauzingatiwi na si haki kwa mwanamke kutusumbua tunapotaka kupumzika na haina mantiki kwa mtu yeyote kutulaumu sisi ambaye haelewi tunayopitia. Inabidi tujisemee wenyewe kwani jamii haiwezi kumtetea mwanaume.
English Version:
These men refused to pave way for a woman to sit. They claimed they are tired and woman can stand. They also said a woman can do what a man can do, she can stand. So they didn't see it fit to give her a seat. One of men said us men do hard jobs where gender balance is not considered and it's unfair for a woman to disturb us when we want to rest and it's illogical for anyone to blame us who doesn't understand what we go through. We have to say it for ourself since society can't defend a man
Wanaume hawa walikataa kumpisha mwanamke kukaa. Walidai kuwa wamechoka na mwanamke anaweza kusimama. Pia walisema mwanamke anaweza kufanya kile ambacho mwanaume anaweza kufanya, wakimanisha anaweza kusimama. Kwa hiyo hawakuona inafaa kumpa kiti. Mmoja wa wanaume alisema sisi wanaume tunafanya kazi ngumu ambapo usawa wa kijinsia hauzingatiwi na si haki kwa mwanamke kutusumbua tunapotaka kupumzika na haina mantiki kwa mtu yeyote kutulaumu sisi ambaye haelewi tunayopitia. Inabidi tujisemee wenyewe kwani jamii haiwezi kumtetea mwanaume.
English Version:
These men refused to pave way for a woman to sit. They claimed they are tired and woman can stand. They also said a woman can do what a man can do, she can stand. So they didn't see it fit to give her a seat. One of men said us men do hard jobs where gender balance is not considered and it's unfair for a woman to disturb us when we want to rest and it's illogical for anyone to blame us who doesn't understand what we go through. We have to say it for ourself since society can't defend a man