- Jul 3, 2023
- 1,897
- 3,986
- 113
Wakuu mko poa, nawasalimu kwa upendo,,,
Hivi umewai kujiuliza kama dunia ingekua haina kurupushani ingekuwaje?
Yani kila kitu ni kamserereko, kila kitu ni chema, no pain, hakuna usaliti, hakuna kulia yani ni furaha tu, yani suala la uongo lisiwepo kabsa, wizi wizi huu na uonevu wote hamna, unazani dunia inge damshi/kunoga au ingekuwa too much?
Yani hakuna kuteseeeka, shida isijulikane kabsa, kila unachopanga unakipata tu, hamna kupungukiwa ni utele juu ya utele life kama kwenye ndoto vilee.
Au unaona hizi purukushani ndio zinazo leta utamu wa maisha? kuamka kombora, kukimbia huku na kule, kukwama hapa, kutapeliwa kule, mara uumwe, usalitiwe, ukose hela, ufiwe uachwe nk yaani hizi panda shuka za duniani sio kwamba ndio zina motivate watu watafute na wakipata waone wamepigana kweli na wanastaili kwa jitiahada walizopiga? Au wewe unawazo gani mwana KF.... karibuuu
Hivi umewai kujiuliza kama dunia ingekua haina kurupushani ingekuwaje?
Yani kila kitu ni kamserereko, kila kitu ni chema, no pain, hakuna usaliti, hakuna kulia yani ni furaha tu, yani suala la uongo lisiwepo kabsa, wizi wizi huu na uonevu wote hamna, unazani dunia inge damshi/kunoga au ingekuwa too much?
Yani hakuna kuteseeeka, shida isijulikane kabsa, kila unachopanga unakipata tu, hamna kupungukiwa ni utele juu ya utele life kama kwenye ndoto vilee.
Au unaona hizi purukushani ndio zinazo leta utamu wa maisha? kuamka kombora, kukimbia huku na kule, kukwama hapa, kutapeliwa kule, mara uumwe, usalitiwe, ukose hela, ufiwe uachwe nk yaani hizi panda shuka za duniani sio kwamba ndio zina motivate watu watafute na wakipata waone wamepigana kweli na wanastaili kwa jitiahada walizopiga? Au wewe unawazo gani mwana KF.... karibuuu
Last edited: