- Joined
- Jun 4, 2023
- Messages
- 7,617
- Reaction score
- 26,429
- Points
- 113
Kumekuwa na tetesi kuwa kutajiri mtoto wa kiume katika umri mdogo humfanya awe na kibamia.
Uchagani ilikuwa kijana lazima atimize umri wa kuoa kwanza ndipo anafanyiwa tohara. Wakati anafanyiwa jando mkewe mtarajiwa anakuwa chumba cha pili anasikiliza kama mumewe mtarajiwa atapiga kelele au kulia. Endapo utapiga kelele au kulia ni ishara ya udhaifu. .
-Gily-
Uchagani ilikuwa kijana lazima atimize umri wa kuoa kwanza ndipo anafanyiwa tohara. Wakati anafanyiwa jando mkewe mtarajiwa anakuwa chumba cha pili anasikiliza kama mumewe mtarajiwa atapiga kelele au kulia. Endapo utapiga kelele au kulia ni ishara ya udhaifu. .
-Gily-