- Joined
- Jul 9, 2023
- Messages
- 3,822
- Reaction score
- 3,805
- Points
- 113
Mi navyojua zinaongeza kiwango cha shahawa mwilini. Hivyo huzifanya kuwa nzito sana kama uji.Kina imani kiwa mihigo, jaranga na nazi huongeza nguvu za kiume, SIO KWELI. Hakuna ushahidi wa moja kwa moja kiwa zinaongeza nguvu za kiume, ingawa kisayansi kutumia vitus hivi huongeza shahawa.
Kwa wenye matatizo ya nguvu za kijme wasitegemee kupona kutumia njia hizi.
View attachment 1606
Ila sio kwa mda ule. Mtu anakula nusu saa kabla kujipanga na show kaliMi navyojua zinaongeza kiwango person cha shahawa mwilini. Hivyo huzifanya kuwa nzito sana kama uji.
Kwamba pastor we hutumiiii naziInaweza ikawa dawa, maana mtu akila hizo vitu kwaimani yakuwa na nguvu moja kwa moja anakuwa na ujasiri, na ujasiri ndio kila kitu kwenye hiyo secta(nasikia)
Nazi kwenye msosi inafanya nacheua sana kwahyo siipendeleagiiKwamba pastor we hutumiiii nazi
We use essential cookies to make this site work, and optional cookies to enhance your experience.