- Jul 8, 2023
- 1,320
- 2,995
- 0
Hello..
Jamani nauliza tu..
Mpaka kuwa raisi wa kijiji forum unapitia level ngapi??
Maana sasa hivi nipo platinum ina maana kwamba napanda juu na kampuni ikiwa na raisi ina maana mwenye hisa nyingi ndo anamiliki kijiji forum,mimi hisa zangu zishafikia platinum au sio moderator??
Level nilizopitia mpaka sasa.
1:villager
2 active villager
3latinum villager
4mo baba lowo(mod)
5:mshamba mkuu(mod)
6:kijiji forum(official accounts)
7:hakimu(k.f founder)
8:GILLY(K.F FOUNDER&PRESIDENT)
Ebu nisaidieni bado level ngapi niwe president??
Au inakuwaje kama sijaelewa vile
Jamani nauliza tu..
Mpaka kuwa raisi wa kijiji forum unapitia level ngapi??
Maana sasa hivi nipo platinum ina maana kwamba napanda juu na kampuni ikiwa na raisi ina maana mwenye hisa nyingi ndo anamiliki kijiji forum,mimi hisa zangu zishafikia platinum au sio moderator??
Level nilizopitia mpaka sasa.
1:villager
2 active villager
3latinum villager
4mo baba lowo(mod)
5:mshamba mkuu(mod)
6:kijiji forum(official accounts)
7:hakimu(k.f founder)
8:GILLY(K.F FOUNDER&PRESIDENT)
Ebu nisaidieni bado level ngapi niwe president??
Au inakuwaje kama sijaelewa vile