Licha ya Twitter kuzuiliwa china, Elon Musk kutembelea nchi hiyo

Welcome to our community

Looks like you don't have an account yet? Be apart of something great, join today! Create account to get more access like posting, reacting to others helpful post and your own private message Register Or Login

Anonymous

New member
Joined
Jun 4, 2023
Messages
515
Reaction score
143
Points
0
Licha ya mtandao wa Twitter kuzuiliwa nchini China, Billionea ambaye ndiye mmiliki wa mtandao huo anatarajiwa kuanza ziara yake nchini humo wiki hii.

1685896230195.png
Hii inakuwa ni mara ya pili baada ya miaka mitatu kupita, Elon Musk kwenda nchini China, kwani mara ya mwisho ilikuwa mwaka 2020 alipokwenda kwenye tukio la kampuni yake inayozalisha Magari.

Bado haijaelezwa haswa ni nini ambacho kinampeleka nchini humo, Ila taarifa zinasema moja kati ya watu atakaokutana nao nchini humo ni mkurugenzi wa kampuni yake ya magari ambayo ina ofisi zake Shanghai, China.
 

Gily

KF Founder & Dragon IGM
KF Founder
KF Moderator
Joined
Jun 4, 2023
Messages
7,609
Reaction score
26,404
Points
113
huko China kuna cheap labor makampunk mengi marekani yana chimbuko China
 

Similar threads

Habari wana kijiji nimetumia muda wangu kusetup ili kurahishisha uingiaji na kujiunga katika kijiji chetu Kijijiforums all voice in the vilage matters
Replies
3
Views
191
Mmiliki wa Twitter Elon Musk alibadilisha rasmi nembo ya ndege maarufu ya kampuni hiyo (twitter) kuwa "X" siku ya Jumatatu kama sehemu ya uboreshaji mpya aliotangaza kwenye tovuti ya mtandao wa kijamii ya twitter mwishoni mwa juma. Musk, ambaye aliinunua twitter kwa dola bilioni 44 mwishoni...
Replies
12
Views
194
Muktasari: Threads ambayo ni miongoni mwa mitandao ya kijamii inayomilikiwa na Mark Zuckerberg’s ambapo imepata umaarufu mkubwa baada ya kupata watumiaji wengi ndani ya muda mfupi. Dar es Salaam. Kampuni ya Meta inayomiliki mitandao ya kijamii ya Facebook na Instagram Jana Alhamis Julai 6...
Replies
17
Views
877
Dar es Salaam. Mkutano wa wajumbe zaidi ya 200 wa Kanisa Katoliki Tanzania umeibua mitazamo tofauti kuhusu uwezekano wa watu wenye ulemavu kuingia katika malezi ya wito wa utawa na upadri. Mjadala huo uliibuka wiki hii wakati wa kongamano la maadhimisho ya miaka 60 ya Konstitusio ya Liturujia...
Replies
16
Views
790

Donations

Total amount
$0.00
Goal
$300.00
Back
Top Bottom