Drizian
New member
- Jun 4, 2023
- 90
- 237
- 0
Moja kwa moja.
Nimeona clip na utani unasambaa kwa walimu wa Mathe(hesabu) hapa bongo kauli inayotrend kuhusu wao ni "Mwalimu wa Mathe hapa ni wapi ? ".
Kwa nini asiwe Mwalimu wa Kiswahili , geography ,physics ,civics , Chemistry nk. watu wawashambulie walimu wa Mathe pekee na kutoa taswira kuwa hao ndio walimu ambao wakuda kupitiliza je hii ni kweli ?
#UziTayari
Nimeona clip na utani unasambaa kwa walimu wa Mathe(hesabu) hapa bongo kauli inayotrend kuhusu wao ni "Mwalimu wa Mathe hapa ni wapi ? ".
Kwa nini asiwe Mwalimu wa Kiswahili , geography ,physics ,civics , Chemistry nk. watu wawashambulie walimu wa Mathe pekee na kutoa taswira kuwa hao ndio walimu ambao wakuda kupitiliza je hii ni kweli ?
#UziTayari