- Joined
- Jun 3, 2023
- Messages
- 2,714
- Reaction score
- 6,235
- Points
- 113
Nimeamua kuhama windows na kuhamia ubuntu kama os yangu na nimeona ipo poa tu hasa kwa sisi watu wa tech napia ni lightweight kuliko windows japo sio ngumu kutumia pia sio rahisi kutumia kama windows nitadumu humu kwenye linux for long time
kam na wewe umewahi tumia au unapanga kutumia any linux distribution os njoo tupeani maneno
kam na wewe umewahi tumia au unapanga kutumia any linux distribution os njoo tupeani maneno