- Joined
- Jun 4, 2023
- Messages
- 7,627
- Reaction score
- 26,448
- Points
- 113
Ukatili haujali tabaka
Je. wanawake na wasichana kutoka katika familia zenye hali nzuri ya kiuchumi pia huathiriwa na ukatili wa kijinsia? Watu wengi hudhani kuwa wanawake na wasichana kutoka katika familia zenye ukwasi hawana matatizo na wana uhuru sana. La hasha!
Kwa uzoefu wa TAMWA, kundi hili pia linakutana na ukatili wa kijinsia ikiwa ni pamoja na ukatili unaotokea nyumbani, kazini, mitandaoni na hata barabarani au mitaani. Tushiriki kupinga ukatili wa kijinsia kwani hauchagui tabaka la mtu.
Kipigo kwa mwanamke
Kumpiga mwanamke ni unyanyasaji na
udhalilishaji. Kipigo husababisha chuki, woga, visasi na uhusiano mbaya ndani ya familia. Mwanaume wa kweli hawezi kumpiga mwanamke. Mwanamke jasiri hutoa taarifa kuhusu vipigo.
Utafiti uliofanywa na TDHS unaonyesha kuwa kila wanawake 10 wanawake 3 wamewahi kufanyiwa vitendo vya ukatili. Na kwamba wanawake wa 4 kati ya 10 wamewahi kukumbana na ukatili wa kimwili tangu wakiwa na umri wa miaka 15
Kumpiga mwanamke ni ukatili wa kijinsia.
Kipigo huondoa upendo, furaha, ushirikiano
mzuri katika familia, pia husababisha chuki,
visasi kwa watoto na athari za kisaikolojia
katika familia. Mazungumzo na majadiliano ni njia bora ya kutatua migogoro
Je. wanawake na wasichana kutoka katika familia zenye hali nzuri ya kiuchumi pia huathiriwa na ukatili wa kijinsia? Watu wengi hudhani kuwa wanawake na wasichana kutoka katika familia zenye ukwasi hawana matatizo na wana uhuru sana. La hasha!
Kwa uzoefu wa TAMWA, kundi hili pia linakutana na ukatili wa kijinsia ikiwa ni pamoja na ukatili unaotokea nyumbani, kazini, mitandaoni na hata barabarani au mitaani. Tushiriki kupinga ukatili wa kijinsia kwani hauchagui tabaka la mtu.
Kipigo kwa mwanamke
Kumpiga mwanamke ni unyanyasaji na
udhalilishaji. Kipigo husababisha chuki, woga, visasi na uhusiano mbaya ndani ya familia. Mwanaume wa kweli hawezi kumpiga mwanamke. Mwanamke jasiri hutoa taarifa kuhusu vipigo.
Utafiti uliofanywa na TDHS unaonyesha kuwa kila wanawake 10 wanawake 3 wamewahi kufanyiwa vitendo vya ukatili. Na kwamba wanawake wa 4 kati ya 10 wamewahi kukumbana na ukatili wa kimwili tangu wakiwa na umri wa miaka 15
Kumpiga mwanamke ni ukatili wa kijinsia.
Kipigo huondoa upendo, furaha, ushirikiano
mzuri katika familia, pia husababisha chuki,
visasi kwa watoto na athari za kisaikolojia
katika familia. Mazungumzo na majadiliano ni njia bora ya kutatua migogoro