Tumeona feature nyingi zikitoka mwaka huu 2023 kwenye WhatsApp wanazidi kuendelea kufanya vyema sana kwenye ulimwengu wa Teknolojia.
WhatsApp wanakuja na feature mpya ya kuweza kurahisisha mambo mengi kwenye Akaunti zetu, unakumbuka ile feature ya kuweza kutumia Akaunti moja kwenye vifaa zaidi ya vinne Tena tofauti tofauti achana nayo
hiyo.
Kuna nyingine bhana inakuja sio poa hii ni feature mpya ya kuweza kukusaidia kutumia Akaunti zaidi ya moja kwenye kifaa kimoja. Yani utakua na uwezo wa kutumia Akaunti zaidi ya moja kwenye simu yako hiyo hiyo bila kubadilishi simu.
So utakua na uwezo wa ku log out au kuchagua Akaunti nyingine unayotaka kuweza kutumia WhatsApp yako, kwaiyo watu watakua na uwezo wa kudhibiti mazungumzo yao ya kibinafsi na Kazi kwa ku swipe tu kwenye Akaunti Gani wanataka kutumia.
Kwanza itaanza kupatikana kwa watumiaji wa WhatsApp business ambao ni beta version alafu siku za usoni itakua available worldwide. Japo hii feature ilikuwepo kwenye Akaunti ya Instagram, Facebook, Twitter nazani na telegram kama sikosei.
Unaionaje hii feature ya ku log out au ku swipe kwenye Akaunti nyingine walikuja nayo WhatsApp vipi Iko poa tuachie maoni yako ?
WhatsApp wanakuja na feature mpya ya kuweza kurahisisha mambo mengi kwenye Akaunti zetu, unakumbuka ile feature ya kuweza kutumia Akaunti moja kwenye vifaa zaidi ya vinne Tena tofauti tofauti achana nayo
Kuna nyingine bhana inakuja sio poa hii ni feature mpya ya kuweza kukusaidia kutumia Akaunti zaidi ya moja kwenye kifaa kimoja. Yani utakua na uwezo wa kutumia Akaunti zaidi ya moja kwenye simu yako hiyo hiyo bila kubadilishi simu.
So utakua na uwezo wa ku log out au kuchagua Akaunti nyingine unayotaka kuweza kutumia WhatsApp yako, kwaiyo watu watakua na uwezo wa kudhibiti mazungumzo yao ya kibinafsi na Kazi kwa ku swipe tu kwenye Akaunti Gani wanataka kutumia.
Kwanza itaanza kupatikana kwa watumiaji wa WhatsApp business ambao ni beta version alafu siku za usoni itakua available worldwide. Japo hii feature ilikuwepo kwenye Akaunti ya Instagram, Facebook, Twitter nazani na telegram kama sikosei.
Unaionaje hii feature ya ku log out au ku swipe kwenye Akaunti nyingine walikuja nayo WhatsApp vipi Iko poa tuachie maoni yako ?