Zuchu afungiwa kujihusisha na shughuli za sanaa Zanzibar

Welcome to our community

Looks like you don't have an account yet? Be apart of something great, join today! Create account to get more access like posting, reacting to others helpful post and your own private message Register Or Login

Muhindi Wa Kuchoma

Well-known member
Platinum Villager
Jul 9, 2023
3,787
3,770
113
1000712961.jpg
Baraza la Sanaa, Sensa ya Filamu na Utamaduni Zanzibar limemfungia Msanii wa Bongo Fleva Zuhura Othman Suod (ZUCHU) kwa muda wa miezi sita na kulipa faini ya shiling milioni moja za kitanzania kutokana na kuimba nyimbo zisizokuwa na maadili na maudhui mazuri kwa vijana wa kizanzibar.

Kifungo hicho kimetokana na onesho lake la Februari 24 mwaka huu ambapo alitoa maneno yenye ishara mbaya ambazo ni kinyume na maadili.

View attachment 5652363-2dea61d1511bbbf5afd7dddd3d2ab068.mp4
 

Gily

KF Founder & Dragon IGM
Staff member
Jun 4, 2023
7,007
22,560
113
Miziki ya hovyo unakuta inaimbwa na watoto wadogo. Ushauri wangi hizi nyimbo zipigwe usiku wakati watoto wamelala
 

Gily

KF Founder & Dragon IGM
Staff member
Jun 4, 2023
7,007
22,560
113
Miziki ya hovyo unakuta inaimbwa na watoto wadogo. Ushauri wangi hizi nyimbo zipigwe usiku wakati watoto wamelala
 
Top Bottom