Linaitwa dubu.
Ukiwa mtaalamu wakulicheza wanakuita dubu master.🤣🤣🤣🤣
Hìi kitu sijawahi kucheza hata kuligusa,huwa nikiwa maeneo ya bata naonaga watu wakilicheza tu,sijui unachagua wanyama then unaweka pesa,wachina waizi sana,sisi wa tanzania tunadharau vipesa vidogo ila wenzetu wanaokota hizo...