History & Culture's

This is interactive timeline which captures key events from padt history locally and internationally.
Ukimtoa Malkia Elizabeth II basi hakuna kiongozi mwengine wa kifalme aliyeiongoza uingereza kwa miaka mingi zaidi kumzidi Malkia Victoria kwa miaka 64 ....Ndio malkia Victoria ndio jina Lake limepewa ziwa la Victoria linalopatikana hapa afrika ya mashariki ....jina lake kamili aliitwa...
Replies
3
Views
440
In this thread, we will explore history through old photos. These images offer an authentic and unvarnished view of life in the past, showing the human evolution in various aspects. Post photos that made a dramatic change in the way we see history. Historical photos, like images in this post...
Replies
24
Views
1K
Mfahamu Mmiliki na Mwanzilishi Wa simu za Tecno na Infinix Siku zote lipo tumaini katika hali yeyote mtu anayokutana nayo Maishani. Umasikini au hali ngumu ya Maisha sio vitu anavyodumu navyo mtu siku zote. Nnamdi Ezeigbo, ndie Mwanzilishi na mtendaji mkuu (CEO) wa kampuni maarufu ya Slot...
Replies
6
Views
263
kweli wakula bata sana,kipindi hicho watu hawawazi kujenga ni bata tuu
Replies
12
Views
259
Unamkumbuka nani kwenye gazeti la sani??
Replies
19
Views
637
Je pata seca ni nani?? Pata seca alikuwa mtumwa wa kiafrica aliyetoka nchi ya brazili,alizaliwa mwaka wa 1858 huko sorocoba [Sao paulo] Brazil. Jamaa alikuwa anamwili mkubwa sana alikuwa na urefu wa futi 7(2.18 meters), kipindi cha utumwa huko brazil wazungu walimpenda kwa sababu ya mwili...
Replies
5
Views
361
Habari zenu wangu.. Moja kwa moja natiririka kwenye uzi kama hivi,dunia yetu imepita nyakati mbalimbali za kukua,zamani kuna vitu mtu kuwanavyo ilikuwa deal sana,tena bei na uthamani ulikuwa wa hali ya juu,vitu hivyo walimiliki matajiri na watu wenye pesa zao, Sasa napenda kuwaletea vitu...
Replies
6
Views
286
Natumaini wote wanzima humu.. LIFAHAMU KABILA LA WACHAGA Wachagga ni kabila la watu wenye asili ya Kibantu wanaoishi kaskazini mwa Tanzania chini ya mlima Kilimanjaro, mkoani Kilimanjaro. Shughuli kubwa ya Wachagga ni biashara na kilimo. Wachagga ni kabila la tatu kwa ukubwa nchini...
Replies
4
Views
226
Kama ulikua humjui vizuri Mohammed Dewji 'MO' wacha nikufahamishe,"" Jina lake halisi anaitwa Mohamed Gulamabbas Dewji, Amezaliwa tarehe 8 mwezi May mwaka 1975, Mohamed Dewji amezaliwa IPEMBE mkoani SINGIDA, Ni mtoto wa pili miongoni mwa watoto sita, Wa Mzee Gulamabbas Dewji na Zubeda Dewji...
Replies
56
Views
822
Huyu Mwamba, mnamo mwaka 1982, alimfurusha Rais Moi Ikulu na akachukua nchi. Ilikuwa hivi!! Hezekiah Ochuka, alikuwa ni mwanajeshi wa Kikosi cha Anga cha Jeshi la Kenya. Inasemwa alikuwa ni rubani matata sana na mtundu. Mwaka 1982, akiwa kikosi cha anga, aliamua kuteka Airforce One na kuingia...
Replies
1
Views
86
Back
Top