1. Kuajiri watu na kutumikia watu..
kwenye maisha ya sasa ya ushindani, inaitaji akili kubwa na sio hardwork tena,
Muda ni fedha, anza kutumia muda wa watu(social network, na makampuni wanaingiza hela kupitia muda wawatu) usikae nyuma nyuma anza na wewe ndio dunia ya sasa inataka hivo...
Anza...