biashara

Welcome to our community

Looks like you don't have an account yet? Be apart of something great, join today! Create account to get more access like posting, reacting to others helpful post and your own private message Register Or Login

  1. Muhindi Wa Kuchoma

    Fursa: Mtaji Laki 1 - Mayai ya Kuchemsha

    Kama hujaamua kutoka ndani na kuingia mtaani ama kwa lugha nyengine kama hujaamua kufuta aibu kichwani mwako basi hii makala haikufai. Mradi huu utakuhitaji kuajiri kina/binti mmoja au zaidi kulingana na upatikanaji na uaminifu wa vijana ambao unahisi watakufaa. Katika mfano wangu ambao...
  2. Kondeni0112

    AKILI ZA KUWA TAJIRI 👇👇✔✔✔💱💸💰(soma mpaka mwishoo)

    1. Kuajiri watu na kutumikia watu.. kwenye maisha ya sasa ya ushindani, inaitaji akili kubwa na sio hardwork tena, Muda ni fedha, anza kutumia muda wa watu(social network, na makampuni wanaingiza hela kupitia muda wawatu) usikae nyuma nyuma anza na wewe ndio dunia ya sasa inataka hivo... Anza...
  3. Hakimu

    Mchanganuo wa biashara ya Chips

    Habari! Leo nitawaeleza mchanganuo wa biashara hii ya chips biashara ambayo imepamba moto maeneo ya mijini hasa dar es salaam Kwanza biashara hii huathiriwa na vitu vingi kama zilivyo biashara nyingine Nakumbuka mitaa flani nilikuwa nikiishi kulikuwa na huyo mama wa kichaga alikuwa anapata...
  4. The great manenge

    Movies Library

    Biashara ya movies store au library ni biashara nzuri sana kama utaifanya kwa uweledi mzuri, ni biashara isiyotumia nguvu sana. Kwa mtaji wa million 2 unaweza kufanya hii biashara ikakupatia kipato kizuri sana. Kwa atakaye penda mchanganuo wa biashara hii nakukaribisha.. Mchanganuo 👇👇
Back
Top Bottom