dhambi

  1. Gily

    Dhambi ya Sodoma na Gomora ilikua ipi?

    Adhabu kuhusiana na tabia za ushoga Kuna baadhi ya wasomi wanasema dhambi ya Sodoma na Gomora ilikuwa ni kwa sababu ya matendo ya Kishoga. Mungu akatuma wageni kwa Lutu. Ila sasa watu kwa tamaa kuona malaika wale ni wazuri wakataka kulala nao. Kwa nini? Kwa nini? Kwa sababu walifika nyumbani...
  2. Hakimu

    Hivi kuua wanyama kikatili au wadudu ni dhambi?

    Leo tu alijipitisha mdudu sikumpenda nikamkanyanga na kumsambaratisha, baada ya hapo nikasema wewe lazima ulikuwa ni mzee maana isingelikuwa hivyo basi ungeishi, pia nikawaza kuwa hakujua kuwa ndio mwisho wake Nikafikiri pia kuua wanyama wengine kiukatili ni dhambi?
  3. Gily

    Je kujichua ni dhambi?

    Wasalaam Katika dunia ya leo imekuwa kawaida sana kwa wanaume na wanawake kujichukulia sheria mkononi. Wengine wanaenda mbali zaidi kutumia vitendea kazi katika kufanikisha hili. Naposema vitendea kazi namaanisha vitu mfano sabuni, mafuta, tango, mate nk. Swali langu la msingi: Je kujichua ni...
Back
Top