kazi

  1. Hakimu

    Uvivu

    Uvivu ni hasara Uvivu ni umasikini Uvivu ni utumwa Tujishughulishe katika kupambania ndoto, mvivu husema kwani si tutakufa tutaviacha, je watoto wako waishi kama wewe Oya hii ni motivation zamani nilikuwa mvivu sana ila now nachapa sana kazi
  2. Urban Edmund

    Unafanya kazi gani ? Ulisomea nini ? uliipenda kazi gani ?

    mimi Binafsi ninafanya kazi za kijasiriamali, kilimo na kufundisha (Tuition) but by professional ni Pharmaceutical Personnel (mtaalamu wa madawa) nilitamani niwe Electronics Engineer vipi kwa upande wako @Leejay @Gily @mshamba_mkuu , @Kilimbatz , @Hakimu
Back
Top