Uvivu ni hasara
Uvivu ni umasikini
Uvivu ni utumwa
Tujishughulishe katika kupambania ndoto, mvivu husema kwani si tutakufa tutaviacha, je watoto wako waishi kama wewe
Oya hii ni motivation zamani nilikuwa mvivu sana ila now nachapa sana kazi
mimi Binafsi ninafanya kazi za kijasiriamali, kilimo na kufundisha (Tuition) but by professional ni Pharmaceutical Personnel (mtaalamu wa madawa) nilitamani niwe Electronics Engineer vipi kwa upande wako
@Leejay @Gily @mshamba_mkuu , @Kilimbatz , @Hakimu