Kumekuwa na watu wengi wakijitojeza wakodai kuwa kuna madhara kulala na kioo kutazama kitanda. Inaaminika kuwa kulala na kioo kutazama kitanda huleta:
Mikosi,
Kukosa usingizi,
Kuvunjika kwa ndoa,
Migogoro,
Ndoto mbaya nk.,
Nadharia hii inatoka wapi?
Dhana kwamba hupaswi kulala mbele ya kioo...