kioo kutazama kitanda

  1. Gily

    Hadithi au Ukweli: Je kuna madhara kulala na kioo kutazama kitanda?

    Kumekuwa na watu wengi wakijitojeza wakodai kuwa kuna madhara kulala na kioo kutazama kitanda. Inaaminika kuwa kulala na kioo kutazama kitanda huleta: Mikosi, Kukosa usingizi, Kuvunjika kwa ndoa, Migogoro, Ndoto mbaya nk., Nadharia hii inatoka wapi? Dhana kwamba hupaswi kulala mbele ya kioo...
Back
Top