kulala

  1. Gily

    Afya ya mtoto: Ni hatarishi kwa watoto kulala na midomo wazi

    Kupumua ni jambo muhimu zaidi kwa afya na ukuaji wa mtoto. Watu wote wanapaswa kupumua kupitia pua zao na sio kupitia kinywa chao. Pua imetengenezwa na kutayarishwa kupasha moto na kulainisha hewa inayoingia kwenye mapafu. Kuna baadhi ya watu ambao huwa na tabia ya kupumua kupitia vinywa vyao...
  2. Muhindi Wa Kuchoma

    Nilidhani Nimepata Kumbe Nimepatikana

    Wakati nimepanga pande flani za Magomeni Mapipa nikakutana na msichana mmoja mzuri katokea pande za kaskazini (mkoa kapuni). Kumtomgoza akawa anacheka cheka tu nikaona huyu kukubali. Kama asingekuwa amenikubali angenichekea chekea? Tulijikuta tuko kwenye mahusiano nikawa nampa na vizawadi...
  3. Hakimu

    Usiku na Maajabu yake

    Kipindi najiandaa kulala hapa Nikafikiria baadhi ya nadharia za usiku, ila kabla ya yote nikajiuliza kwa nini siwezi kulala bila kusali, jibu tu nimuoga natafuta kisingizio Nadharia kama tukilala roho zetu hutoka na kwenda kwa Muumba kisha hurudi, swali tukikesha je? Mbona simu inavyoita...
Back
Top