Maisha ni safari kama wahenga walivyosema, leo nataka tujadili jambo je sisi ndio tunapanga au maisha yanatupangia
Maisha yanaweza kuwa ni nature, umepanga uende kanisani unaamka umechoka
Unafanya kazi kwa bidiii na bado hufanikiwi, kipindi unapanga mambo yako na maisha pia yanakupangia baya...