ndoto

  1. Gily

    Utotoni ulitaka kuwa nani ukubwani?

    Nikiwa mtoto nilikuwa na ndoto za kuwa daktari au engineer. Ukubwani nimekuwa mfanyabiashara, ingawa ndoto zangu za utotoni bado ziko moyoni mwangu. Nikitaka kusomea udaktari itanichukua miaka 3 ya diploma, miaka 5 degree, mwaka mmoja internship kitu ambacho naona ugumu kusoma, ilihali nina...
  2. Hakimu

    Je unatamani kuwa mtu maarufu?

    Ulishawahi kukaa na kuwaza kuwa unatamani kuwa mtu maaraufu? Ungeutumiaje umaarufu wako? Njia gani uliwaza kutumia ili kufikia umaarufu? Je bado unandoto hizo? La na kwanini?
Back
Top