You are using an out of date browser. It may not display this or other websites correctly.
You should upgrade or use an
alternative browser.
-
Kumekuwa na nadharia kuwa wanaume wengi ambao wameoa hawapendi kuvaa pete za ndoa. Je ni kweli? na kama ni kweli kwa nini hupendi kuvaa Pete ya ndoa?
-
Kuna nyimbo inaimba "wanaume tumeumbwa mateso mateso kuhangaika" Hawa hawakuwa wengine bali ni Msondo Ngoma.
Kula chuma hicho