- Jul 8, 2023
- 195
- 704
- 93
Afya ni afya hakika wote tutakufa .
Habari wanakijii , leo naongea na nyie born town aisee ukweli maisha ya kijijni yanataka sana moyo maana wambeya ni wengi kuliko wema .
Naishi kijijini huku nimejenga , nina mambo yangu ya kizee kizee na ya kimaisha nayaendeleza , siwazi kuhama kijiji na wala siwazi kurudi kwetu jijini .
Hivyo msinishauri ila sasa maisha ya wanakijiji yanaboa sana yaani kuna mtu anaijua ratiba yako ya kutoka na kuingia mpaka namna ya muda mnaowasha taa za uhani na kuzima
Nasema hivi maana nimekaa nikawaza baada ya wiki hili lote kuwa bize ndani ya nyumba napambana na mafundi na watu wengine wa chemistry yangu ndani ya nyumba , sijatoka nipo nafanya mambo yangu ndani kwa ndani , sasa leo shughuli zimeisha nikasema wacha nitoke kidogo .
Unajua hapa kijijini kwetu mambo ya kujichanganya na wanakijiji niliacha baada ya kuona mazoea nao yanaboa niulizie kwanini ?
Yaani utashangaa unakutana na mtu kisa ushakuwa na mazoea naye basi kama haupo atakuelezea mpaka yasiyotakiwa .
Hivyo nikaamua kuweka wa mbuzi , mimi nikitoka ni mwendo wa salamu tu , misiba nikienda ni mimi na diwani siunajua tena ili wanakijiji wakuheshimu kaa karibu na diwani tu .
Sasa diwani mwenyewe ananiita mshauri wake wa kijiji
Basi bwana , leo nikawa natoka ile tu nafungua geti kuna jirani akanipiga mkono usijiulize nilikuwa na usafiri au nini , mwenzenu nina mikokoteni yangu japo naupenda mmoja wa urithi huo natamba nao hapa kijijini maana wa kitambo na unahimili harakati za hapa
Sasa ndugu jirani eti ananiuliza ww mbona umepotea sana ? Haupatikani siku hizi nikamuuliza sipatikani umekuja kwangu ? Je umenipigia basi ? Eti oooh hapana najua saa mbili unatokaga hapa ndani na unarudi mida ya saa saba , alafu ukitoka muda huo ni saa kumi na moja , nikajikuta namjibu nilikuwepo uwe na asubuhi njema .
Sasa nikarecall back hawa kuna kipindi hapa kati niliumwa , taarifa zangu zikasambaa maana nilichukuliwa na zile gari za milio barabarani , huku nyuma nasikia wakawa wanasema yaani UKIMWI wa sasa hivi unashtukiza mpaka ni hatari
Kwahiyo mimi walimaanisha nina ngoma na pia umenishtukiza kuanza kuumwa , haya niliambiwa na wanangu ninaowalea baada ya kuwa wanambiwa kibabu chenu kiko hoi na ngoma kimepelekwa hatujui kama kitarudi hivyo jiandaeni kurudi majumbani kwenu na magonjwa yenu .
Imagine , unamuambia mtoto ambaye ni muathirika wa hili gonjwa maneno magumu kama haya .
Sasa nakukanya wewe born town ukija kijijini kuwa na moyo mpana watu hawana kazi huku , wakitoka shamba mida ya saa saba basi ni muda wa kumjadili yeyote aliyeletwa mezani .
Sasa usijihisi vibaya kuwa na amani tumesemwa toka tunazaliwa utasemwa mpaka unakufa , wewe ni wewe ishi kama wewe .
Msiseme mzee mbona kinyonge , hawa nataka niwakate vidomo kabisa nitamchukua wife siku moja namuambia atinge uniform zake nitembee naye sehemu zote za makusanyiko hapa kijijini ili hata michepuko na wambeya wajue nikijua wanayonisema wife atawachenjia .
Asanteni .
Habari wanakijii , leo naongea na nyie born town aisee ukweli maisha ya kijijni yanataka sana moyo maana wambeya ni wengi kuliko wema .
Naishi kijijini huku nimejenga , nina mambo yangu ya kizee kizee na ya kimaisha nayaendeleza , siwazi kuhama kijiji na wala siwazi kurudi kwetu jijini .
Hivyo msinishauri ila sasa maisha ya wanakijiji yanaboa sana yaani kuna mtu anaijua ratiba yako ya kutoka na kuingia mpaka namna ya muda mnaowasha taa za uhani na kuzima
Nasema hivi maana nimekaa nikawaza baada ya wiki hili lote kuwa bize ndani ya nyumba napambana na mafundi na watu wengine wa chemistry yangu ndani ya nyumba , sijatoka nipo nafanya mambo yangu ndani kwa ndani , sasa leo shughuli zimeisha nikasema wacha nitoke kidogo .
Unajua hapa kijijini kwetu mambo ya kujichanganya na wanakijiji niliacha baada ya kuona mazoea nao yanaboa niulizie kwanini ?
Yaani utashangaa unakutana na mtu kisa ushakuwa na mazoea naye basi kama haupo atakuelezea mpaka yasiyotakiwa .
Hivyo nikaamua kuweka wa mbuzi , mimi nikitoka ni mwendo wa salamu tu , misiba nikienda ni mimi na diwani siunajua tena ili wanakijiji wakuheshimu kaa karibu na diwani tu .
Sasa diwani mwenyewe ananiita mshauri wake wa kijiji
Basi bwana , leo nikawa natoka ile tu nafungua geti kuna jirani akanipiga mkono usijiulize nilikuwa na usafiri au nini , mwenzenu nina mikokoteni yangu japo naupenda mmoja wa urithi huo natamba nao hapa kijijini maana wa kitambo na unahimili harakati za hapa
Sasa ndugu jirani eti ananiuliza ww mbona umepotea sana ? Haupatikani siku hizi nikamuuliza sipatikani umekuja kwangu ? Je umenipigia basi ? Eti oooh hapana najua saa mbili unatokaga hapa ndani na unarudi mida ya saa saba , alafu ukitoka muda huo ni saa kumi na moja , nikajikuta namjibu nilikuwepo uwe na asubuhi njema .
Sasa nikarecall back hawa kuna kipindi hapa kati niliumwa , taarifa zangu zikasambaa maana nilichukuliwa na zile gari za milio barabarani , huku nyuma nasikia wakawa wanasema yaani UKIMWI wa sasa hivi unashtukiza mpaka ni hatari
Kwahiyo mimi walimaanisha nina ngoma na pia umenishtukiza kuanza kuumwa , haya niliambiwa na wanangu ninaowalea baada ya kuwa wanambiwa kibabu chenu kiko hoi na ngoma kimepelekwa hatujui kama kitarudi hivyo jiandaeni kurudi majumbani kwenu na magonjwa yenu .
Imagine , unamuambia mtoto ambaye ni muathirika wa hili gonjwa maneno magumu kama haya .
Sasa nakukanya wewe born town ukija kijijini kuwa na moyo mpana watu hawana kazi huku , wakitoka shamba mida ya saa saba basi ni muda wa kumjadili yeyote aliyeletwa mezani .
Sasa usijihisi vibaya kuwa na amani tumesemwa toka tunazaliwa utasemwa mpaka unakufa , wewe ni wewe ishi kama wewe .
Msiseme mzee mbona kinyonge , hawa nataka niwakate vidomo kabisa nitamchukua wife siku moja namuambia atinge uniform zake nitembee naye sehemu zote za makusanyiko hapa kijijini ili hata michepuko na wambeya wajue nikijua wanayonisema wife atawachenjia .
Asanteni .