- Joined
- Jun 5, 2023
- Messages
- 26
- Reaction score
- 57
- Points
- 0
Matunda mengi yana manufaa lakini tango linaonekana kutia fora kwa manufaa katika mwili wa binadamu. Kutokana na faida za Tango, unashauriwa kula tango kila siku, utaona manufaa yake.
Kupunguza hatari za saratani
Unywaji wa juisi ya tango hupunguza hatari ya saratani kwa wanawake hasa saratani ya shingo ya kizazi na saratani ya mapafu.
Kupunguza uzito
Tango huzuia magonjwa mengi na hupambana na unene. Tango husaidia sana kupunguza uzito, linaweza kumsaidia mtu kupungua kwa kupata virutubisho vingi muhimu.
Vitamini
Tango lina faida nyingi kiafya, limejaa vitamini K, C, na A, pia zinapatikana nyuzinyuzi na madini ya potasiamu na kalisi (calcium). 95% ya tango ni maji hivyo huulinda mwili kutokana na ukavu.
Hupunguza maumivu kwenye viungo na mifupa
Osteoporosis ni ugonjwa wa mifupa, husababisha mifupa kuwa dhaifu na unaweza kusababisha mifupa membamba kuvunjika hata ikiwa umepinda kidogo. Matango yana madini kama kalsiamu, shaba, magnesiamu na potasiamu ambayo huimarisha afya ya mifupa na matatizo ya mifupa yanayohusiana na umri.
Tango lina nafasi kubwa katika urembo
Huondia uharibifu wa kuzeeka ngozi
Tango lina nafasi kubwa katika urembo wa nywele, ngozi na kucha.
Watafiti wanasema tunda hili huboresha kinga ya mwili.
Matango huimarisha afya ya akili Matango yana flavonoids, ambayo ina nguvu ya kuboresha afya ya akili. Inaboresha kazi ya ubongo na huongeza kumbukumbu. Pia hulinda seli kutokana na uharibifu unaohusiana na kuzeeka.
Hufanya kazi muhimu katika usagaji chakula
Tango lina nyuzinyuzi nyingi na maji, ambavyo vyote ni muhimu kwa usagaji chakula. Vilevile huzuia kiungulia. Kunywa juisi ya tango kila siku husaidia kutibu vidonda vya tumbo.
Ni tiba ya bawasiri
Tango hutuliza bawasiri na huondoa maumivu.
Hufanya kazi muhimu katika usagaji chakula
Tango lina nyuzinyuzi nyingi na maji, ambavyo vyote ni muhimu kwa usagaji chakula. Vilevile huzuia kiungulia. Kunywa juisi ya tango kila siku husaidia kutibu vidonda vya tumbo.
Kupambana na bakteria
Tango lina uwezo wa kupambana na bakteria, fangasi na virusi, na baadhi ya watafiti wanapendekeza watu wanaotumia dawa za VVU kula tango - ili kupunguza virusi kuzaliana.
BBC Swahili
Kupunguza hatari za saratani
Unywaji wa juisi ya tango hupunguza hatari ya saratani kwa wanawake hasa saratani ya shingo ya kizazi na saratani ya mapafu.
Kupunguza uzito
Tango huzuia magonjwa mengi na hupambana na unene. Tango husaidia sana kupunguza uzito, linaweza kumsaidia mtu kupungua kwa kupata virutubisho vingi muhimu.
Vitamini
Tango lina faida nyingi kiafya, limejaa vitamini K, C, na A, pia zinapatikana nyuzinyuzi na madini ya potasiamu na kalisi (calcium). 95% ya tango ni maji hivyo huulinda mwili kutokana na ukavu.
Hupunguza maumivu kwenye viungo na mifupa
Osteoporosis ni ugonjwa wa mifupa, husababisha mifupa kuwa dhaifu na unaweza kusababisha mifupa membamba kuvunjika hata ikiwa umepinda kidogo. Matango yana madini kama kalsiamu, shaba, magnesiamu na potasiamu ambayo huimarisha afya ya mifupa na matatizo ya mifupa yanayohusiana na umri.
Tango lina nafasi kubwa katika urembo
Huondia uharibifu wa kuzeeka ngozi
Tango lina nafasi kubwa katika urembo wa nywele, ngozi na kucha.
Watafiti wanasema tunda hili huboresha kinga ya mwili.
Matango huimarisha afya ya akili Matango yana flavonoids, ambayo ina nguvu ya kuboresha afya ya akili. Inaboresha kazi ya ubongo na huongeza kumbukumbu. Pia hulinda seli kutokana na uharibifu unaohusiana na kuzeeka.
Hufanya kazi muhimu katika usagaji chakula
Tango lina nyuzinyuzi nyingi na maji, ambavyo vyote ni muhimu kwa usagaji chakula. Vilevile huzuia kiungulia. Kunywa juisi ya tango kila siku husaidia kutibu vidonda vya tumbo.
Ni tiba ya bawasiri
Tango hutuliza bawasiri na huondoa maumivu.
Hufanya kazi muhimu katika usagaji chakula
Tango lina nyuzinyuzi nyingi na maji, ambavyo vyote ni muhimu kwa usagaji chakula. Vilevile huzuia kiungulia. Kunywa juisi ya tango kila siku husaidia kutibu vidonda vya tumbo.
Kupambana na bakteria
Tango lina uwezo wa kupambana na bakteria, fangasi na virusi, na baadhi ya watafiti wanapendekeza watu wanaotumia dawa za VVU kula tango - ili kupunguza virusi kuzaliana.
BBC Swahili