HAGAI 2:9

Kondeni0112

KF President
Platinum Villager
Joined
Jul 3, 2023
Messages
1,883
Reaction score
3,969
Points
113

Hagai : Mlango 2​

9 Utukufu wa mwisho wa nyumba hii utakuwa mkuu kuliko utukufu wake wa kwanza, asema BWANA wa majeshi; na katika mahali hapa nitawapa amani, asema BWANA wa majeshi.

Nakusalimu kwa jina la Yesu.

Kwa wewe unaesoma uzi huu usikubali hata siku moja kurudi nyuma, kukata tamaa, kuchoka maisha, wala kuacha kupambana..

Mbele yako ni nzuri, milango iko wazi kwaajili yako, endelea kupiga hatua, atakama hauoni dalili ila jinsi giza linavyozidi kuwa zito ujue nuru ndio iko karibu zaidi,,,,

Utukufu wa mwisho ni mkubwa kuliko wa kwanza, kesho nibora kuliko jana, mbele kuna amani, mbele kuna furaha, mbele kuna fedha, mbele yuko mweza wa yote, tadhama mbele, MUNGU AKUBARIKI.
 
Huwa nawaza jinsi watu wanavyoandika ujinga mtandaoni. Na ujibga ule unasomwa na vizazi na vizazi. Juzi nilikuwa namweleza Issa kuwa ujinga ule kila utakaposomwa lazima unahesabiwa dhambi.


Nashukuru kila post yako au uzi wako umelenga sana kufungua machi, kufungua imani na kutia moyo. Nafurahi sana kuona aina hizi za nyuzi hususani unaandika vitu ambavyo ni akili kubwa. .
 
Hagai alikuwa ni nani?
Hagai ni nabii wa Agano la Kale ambaye alitoa unabii katika karibu mwaka 520 K.K. katika Yerusalemu, mara baada ya watu wa Uyahudi waliporudi kutoka katika uhamisho wa Babilonia (Ezra 5:1; 6:14).

Alisema juu ya kujengwa hekalu la Bwana katika Yerusalemu na akawakemea watu kwa sababu hawakuwa wamemaliza. Naye pia aliandika juu ya hekalu la milenia na utawala wa Mwokozi.

KITABU CHA HAGAI
Katika mlango wa 1, Bwana anawakemea watu kwa kuishi katika nyumba zao zilizomalizika wakati hekalu limebaki bila kujengwa. Mlango wa 2 unaandikwa unabii wa Hagai kwamba Bwana atatoa amani katika hekalu Lake.
 
Huwa nawaza jinsi watu wanavyoandika ujinga mtandaoni. Na ujibga ule unasomwa na vizazi na vizazi. Juzi nilikuwa namweleza Issa kuwa ujinga ule kila utakaposomwa lazima unahesabiwa dhambi.


Nashukuru kila post yako au uzi wako umelenga sana kufungua machi, kufungua imani na kutia moyo. Nafurahi sana kuona aina hizi za nyuzi hususani unaandika vitu ambavyo ni akili kubwa. .
Shukran bro, najua kuna siku hata wajukuu zangu watapita huku, na hakuna kitu kibaya kama kuaribu wa nyumbani mwako,,,
 
Hagai alikuwa ni nani?
Hagai ni nabii wa Agano la Kale ambaye alitoa unabii katika karibu mwaka 520 K.K. katika Yerusalemu, mara baada ya watu wa Uyahudi waliporudi kutoka katika uhamisho wa Babilonia (Ezra 5:1; 6:14).

Alisema juu ya kujengwa hekalu la Bwana katika Yerusalemu na akawakemea watu kwa sababu hawakuwa wamemaliza. Naye pia aliandika juu ya hekalu la milenia na utawala wa Mwokozi.

KITABU CHA HAGAI
Katika mlango wa 1, Bwana anawakemea watu kwa kuishi katika nyumba zao zilizomalizika wakati hekalu limebaki bila kujengwa. Mlango wa 2 unaandikwa unabii wa Hagai kwamba Bwana atatoa amani katika hekalu Lake.
Asante,
 
Huwa nawaza jinsi watu wanavyoandika ujinga mtandaoni. Na ujibga ule unasomwa na vizazi na vizazi. Juzi nilikuwa namweleza Issa kuwa ujinga ule kila utakaposomwa lazima unahesabiwa dhambi.


Nashukuru kila post yako au uzi wako umelenga sana kufungua machi, kufungua imani na kutia moyo. Nafurahi sana kuona aina hizi za nyuzi hususani unaandika vitu ambavyo ni akili kubwa. .
Nzuri sana na Mungu ambariki
Haha
Hakimu njoo huku kuna neno
Sema sikuhizi unachapia sana, andaa ile mashine kesho naja kuichukua
 
Back
Top