- Jul 3, 2023
- 1,897
- 3,986
- 113
Hamjambo? Mimi sijambo .
Wakuu nimekutana na mjadala asubuhi wakati naelekea katika shughuli za watu hizi...
Mjadala ulikua mzito, ndio mara ya kwanza kukutana na mjadala kila mtu anauchangia kwenye gari.. yaani walikua wanaushambulia haswaa..
Mjadala ulianza baada ya daladala nliyokua nimepanda kusimama kwenye mataaa ( mitaa ya philips)..
Ulikua hivii baada ya kusimama wakaja wale walemavu(alikua kipofu anaongozwa na kijana) akaanza kuomba msaada kwa dirishani..
Jamaa mmoja akatoa hela akampa... sasa mama mmoja aliyekua pembeni yayule kijana alietoa hela akaanza kuongea akimshauri kwanguvu na kwa msisitizo sana yule kijana "kijana usiwe unatoa hela kwa hawa watu, hawana shida hao kuna mmoja namjua anayo gorofa kwakutumia kuomba"...
Baada ya uyo mama kusema hivo ikawa kama kafungulia koki yaani watu wakaanza kumiminika.
Mwingine anasema hizo hela wanapelekaga maduka ya wahindi, mwingine anasema hizo hela zinapelekwaga kwa waganga kuiba nyota za watu.
Yaani maneno yalikua mengiii...
Ila kwa ujumla karibia wote walikua wanasema sio poa kuwapa wale ombaomba hela, nakujazia kuwa kama unataka kusaidia watu nenda hospitalini..
Vp unalionaje hilii.. au na wewe uko upande mmoja na wale abiria?
Wakuu nimekutana na mjadala asubuhi wakati naelekea katika shughuli za watu hizi...
Mjadala ulikua mzito, ndio mara ya kwanza kukutana na mjadala kila mtu anauchangia kwenye gari.. yaani walikua wanaushambulia haswaa..
Mjadala ulianza baada ya daladala nliyokua nimepanda kusimama kwenye mataaa ( mitaa ya philips)..
Ulikua hivii baada ya kusimama wakaja wale walemavu(alikua kipofu anaongozwa na kijana) akaanza kuomba msaada kwa dirishani..
Jamaa mmoja akatoa hela akampa... sasa mama mmoja aliyekua pembeni yayule kijana alietoa hela akaanza kuongea akimshauri kwanguvu na kwa msisitizo sana yule kijana "kijana usiwe unatoa hela kwa hawa watu, hawana shida hao kuna mmoja namjua anayo gorofa kwakutumia kuomba"...
Baada ya uyo mama kusema hivo ikawa kama kafungulia koki yaani watu wakaanza kumiminika.
Mwingine anasema hizo hela wanapelekaga maduka ya wahindi, mwingine anasema hizo hela zinapelekwaga kwa waganga kuiba nyota za watu.
Yaani maneno yalikua mengiii...
Ila kwa ujumla karibia wote walikua wanasema sio poa kuwapa wale ombaomba hela, nakujazia kuwa kama unataka kusaidia watu nenda hospitalini..
Vp unalionaje hilii.. au na wewe uko upande mmoja na wale abiria?