Je kuna urafiki kati ya mwanaume na mwanamke aliyeolewa?

Welcome to our community

Looks like you don't have an account yet? Be apart of something great, join today! Create account to get more access like posting, reacting to others helpful post and your own private message Register Or Login

Gily

KF Founder & Dragon IGM
KF Founder
KF Moderator
Joined
Jun 4, 2023
Messages
7,609
Reaction score
26,404
Points
113
Wanaume wengi waliooa hawapendezwi na urafiki kati ya wake zao na wanaume wengine. Wengine wanaenda mbali sana kukataza wake zao wasijichanganye na wanaume.

Wanawake walio kwenye ndoa wengi wanajikuta marafiki zao wakubwa ni mashemeji zao na ndugu zao. Japo wanajichanganya na wanaume hukuti wakiwa kwenye urafiki zaidi tu ni ujirani na kufahamiana tu.


Je kuna urafiki kati ya mwanaume na mwanamke aliyeolewa? Unaweza kuwa na urafiki huu au kuruhusu urafiki huu kama mume.
 

The great manenge

New member
Platinum Villager
Joined
Jul 8, 2023
Messages
1,320
Reaction score
2,995
Points
0
Hapo pagumu labda mwanamke mwenyewe awe ana shape au sura mbaya,au usiwe rijali ila kama mwanamke mnzuri ni ngumu kuwa naye rafiki lazima utatamani kushare love,
Na siku zote ukijaribu tu kumtongoza kuna mambo mawili kukukubalia au kuwa maadui,na asipokukubalia atakutangaza kwa watu jamaa boya lile nimeingia gheto kwako halijawahi kunifanya chochote.
Ili kuepuka yote hayo yakupasa kuwakaza wanawake wote wanaokuja kwako ila sio mama ako na dada yako tu na ndugu zako ila wanawake wengine wakaze ili kuboresha heshima yako kwao
 

Gily

KF Founder & Dragon IGM
KF Founder
KF Moderator
Joined
Jun 4, 2023
Messages
7,609
Reaction score
26,404
Points
113
Hapo pagumu labda mwanamke mwenyewe awe ana shape au sura mbaya,au usiwe rijali ila kama mwanamke mnzuri ni ngumu kuwa naye rafiki lazima utatamani kushare love,
Na siku zote ukijaribu tu kumtongoza kuna mambo mawili kukukubalia au kuwa maadui,na asipokukubalia atakutangaza kwa watu jamaa boya lile nimeingia gheto kwako halijawahi kunifanya chochote.
Ili kuepuka yote hayo yakupasa kuwakaza wanawake wote wanaokuja kwako ila sio mama ako na dada yako tu na ndugu zako ila wanawake wengine wakaze ili kuboresha heshima yako kwao
Dah wakw z watu sumu kaa nao mbali
 

Muhindi Wa Kuchoma

Well-known member
Platinum Villager
Joined
Jul 9, 2023
Messages
3,821
Reaction score
3,805
Points
113
Hapo pagumu labda mwanamke mwenyewe awe ana shape au sura mbaya,au usiwe rijali ila kama mwanamke mnzuri ni ngumu kuwa naye rafiki lazima utatamani kushare love,
Na siku zote ukijaribu tu kumtongoza kuna mambo mawili kukukubalia au kuwa maadui,na asipokukubalia atakutangaza kwa watu jamaa boya lile nimeingia gheto kwako halijawahi kunifanya chochote.
Ili kuepuka yote hayo yakupasa kuwakaza wanawake wote wanaokuja kwako ila sio mama ako na dada yako tu na ndugu zako ila wanawake wengine wakaze ili kuboresha heshima yako kwao
Huwezi mwachia demu aende zake kirahisi
Mtaano hawachelewi kusema jamaa hana maajabu

Wakija na shangazi zake kaza wote
 

Similar threads

Je katika mchoro huu kuna pembe tatu ngapi?
Replies
3
Views
307
Wakuu mko gud? Mimi niko gudi kabisa na mshukuru muumba wa mbingu na nchi niko mzima, na nina furaha na amani, nmeshiba, na nina kama afu kumi na tatu za kenyA mfukoni😊 Najua mpaka hapa nitakua nimeshakwaambukiza ka furaha na ka amani kwa wote ambao hamko sawa😀 Kumekuwa na misemo ya hekima...
Replies
9
Views
457
Habari ndugu zangu . Nikiwa hapo ulipokuwa baada ya mimi kuja kufanya umbea wangu nilikuonea huruma sana mzee mwenzangu . Mdomoni unaonekana mwamba ila sura na sauti vilinionesha kuwa unajuta ila hautaki kukubali . Siku kadhaa ulizokaa kaka yangu umetoka umekongoroka kama sio wewe . Aisee...
Replies
15
Views
455
Habari ndugu zangu Kuna haja ya kupima DNA watoto ulio walelea na kuishi nao kama watoto wako kweli? Kwa upande wangu naona sio sawa, kama umehisi mtoto sio wako unakausha tu, kuna watu wengi wameadopt watoto na wana amani telee.. Watu wanadai sababu inayofanya wa wafanye DNA test ni ili...
Replies
10
Views
196
Wakuu nauliza tu kwa nia njema, je unafikiri kuna mapenzi siku za hivi karibuni au tamaa na maslahi binafsi yamewekwa mbele Binafsi siamini kabisa katika mapenzi, naona ni kama kupoteza muda nasubiri vijana wenzangu wa kataa ndoa tuje hapa tushushe nondo Watu wanauana sana, full stress no...
Replies
18
Views
330

Donations

Total amount
$0.00
Goal
$300.00
Back
Top Bottom