- Joined
- Jul 8, 2023
- Messages
- 1,320
- Reaction score
- 2,995
- Points
- 0
Linaitwa dubu.
Ukiwa mtaalamu wakulicheza wanakuita dubu master.
Hìi kitu sijawahi kucheza hata kuligusa,huwa nikiwa maeneo ya bata naonaga watu wakilicheza tu,sijui unachagua wanyama then unaweka pesa,wachina waizi sana,sisi wa tanzania tunadharau vipesa vidogo ila wenzetu wanaokota hizo sarafu na kufanya maendeleo kwao.
Kumekuwa na utaratibu kwa wamama kucheza hili dubu, pesa zote zakodi ya meza zinaishia kwa mchina.ndoa nyingi zimevunjika kwa dubu.
Je wewe inalizungimziaje dubu??