- Joined
- Jun 4, 2023
- Messages
- 24
- Reaction score
- 67
- Points
- 0
Hello,
Kama unataka kujifunza kubeti au kuingia kwenye betting industry...
Aka MIKEKA...
basi uzi huu ni wako..
Nitakuelekeza hatua kwa hatua na kama una swali uliza..
Kumbuka hapa nitaongelea tu betting ya kwenye SOKA (football)
Kubeti ni nini?
Kubeti ni kubashiri , (matokeo au hata matukio yatakayojiri kabla hayajatokea kwenye mechi husika)
Sasa tuanze...
Kabla hujaanza kubeti ni vizuri kwanza kufahamu ligi mbali mbali na kisha chagua angalau ligi ZAKO MBILI AU TATU tu! Ambazo utakuwa unaDEAL nazo!
Hii itakusaidia kujua aina ya matokeo Yao na mwenendo wa ligi Yao na itakusaidia sana huko baadae!
Kuna aina mbali mbali za kubeti (KULINGANA NA MTAZAMO WANGU)
1. Kubeti kwa takwimu (kwa akili) hapa unaangalia aina ya ligi, head to head, majeruhi, nani Yuko nyumbani etc.. na unachagua bet KULINGANA na takwimu.
2. Kubeti kwa HISIA ( machale) yaani hapa unaweka mkeka kulingana na unavyojisikia wewe! Mfano Manchester united Vs Forest Green , uwanja wa Nyumbani wa man utd (old Tranford) ila machale Yako tu unaamua kumuua Man utd!
Itaendelea sehemu ya pili hapo kwenye comment
Kama unataka kujifunza kubeti au kuingia kwenye betting industry...
Aka MIKEKA...
basi uzi huu ni wako..
Nitakuelekeza hatua kwa hatua na kama una swali uliza..
Kumbuka hapa nitaongelea tu betting ya kwenye SOKA (football)
Kubeti ni nini?
Kubeti ni kubashiri , (matokeo au hata matukio yatakayojiri kabla hayajatokea kwenye mechi husika)
Sasa tuanze...
Kabla hujaanza kubeti ni vizuri kwanza kufahamu ligi mbali mbali na kisha chagua angalau ligi ZAKO MBILI AU TATU tu! Ambazo utakuwa unaDEAL nazo!
Hii itakusaidia kujua aina ya matokeo Yao na mwenendo wa ligi Yao na itakusaidia sana huko baadae!
Kuna aina mbali mbali za kubeti (KULINGANA NA MTAZAMO WANGU)
1. Kubeti kwa takwimu (kwa akili) hapa unaangalia aina ya ligi, head to head, majeruhi, nani Yuko nyumbani etc.. na unachagua bet KULINGANA na takwimu.
2. Kubeti kwa HISIA ( machale) yaani hapa unaweka mkeka kulingana na unavyojisikia wewe! Mfano Manchester united Vs Forest Green , uwanja wa Nyumbani wa man utd (old Tranford) ila machale Yako tu unaamua kumuua Man utd!
Itaendelea sehemu ya pili hapo kwenye comment