Jifunze PHP coding

Welcome to our community

Looks like you don't have an account yet? Be apart of something great, join today! Create account to get more access like posting, reacting to others helpful post and your own private message Register Or Login

Hakimu

Immortal Village Hero
KF Founder
KF Moderator
Joined
Jun 3, 2023
Messages
2,711
Reaction score
6,226
Points
113
Kwenye Thread hii nitakuwa naleta mafundisho ya PHP kidogo kidogo mpaka tutakapofikia level za kuunda dynamic website yetu

Nimuhimu kuwa na uelewa na HTML kidogo ili kuendelea
 

Hakimu

Immortal Village Hero
KF Founder
KF Moderator
Joined
Jun 3, 2023
Messages
2,711
Reaction score
6,226
Points
113
Lesson 1

(Lessons zetu zitakuwa fupi ili watu waelewe vizuri)

PHP inatuwezesha kuunda both static na dynamic web pages
PHP inarun kwenye server hivyo utahitaji server software to run
Naendekeza Xammp

PHP huandikwa ndani ya (<%php)Inact us opening tag na (%>) Ambayo kama clossing tag na codes zote huandikwa katikati ya hizi codes (tags)

PHP:
<%php

#Codes Huandikwa hapa

%>

Tutajifunza nini kama basics

1.Variables
2.Operators
3.Loops
4.Switch
4.Conditional Statements
5.functions
 

Hakimu

Immortal Village Hero
KF Founder
KF Moderator
Joined
Jun 3, 2023
Messages
2,711
Reaction score
6,226
Points
113

Lesson 2
Unapo andika codes za PHP lazima ujue
Comments (Hii ni sehemu ya codes ambapo computer haitoruns (kusoma), kifupi itakuwa kama ignored na computer itaruka hapo na kuendelea na sehemu nyingine

Comments zinatusaidia kuongeza information kwenye codes ila ni kwa developer tu (mtu anaye soma codes) na sio kwa computer au output ya program husika

Kifupi ni kuwa comments ni kwa msomaji na mwandikaji wa codes tu na haitasoma na computer wakati programu inasomwa

Kuna aina mbili za comments
1.Single line (comment ya mstari mmoja ikiwa utaruka mstari na umeweka alama kama ni single line comment basi mstari wa pili hautahesabika kama comment)
Tunaonesha hii ni Single Line Comment Kwa kuanza na # (Alama ya reli) au // (double slashs)

Mfano

PHP:
<%php

#Comment ya mstari mmoja 
Hii haitahesabika kama comment na italeta error
//Comment ya mstari mmoja 
Hii haitahesabika kama comment na italeta error

%>

2.Multiple line comment (comment ya mstari zaidi ya mmoja) hii huanza na /* kisha maandishi kisha huishiwa na */ kuonesha ni mwisho wa comment mfano

PHP:
<%php


/*Multiple
  Multiple
  Multiple
Mstari mwingine
Mwingine
Mwingine
Na Mwingine
*/

Hii sio comment sababu ipo nje ya comment na italeta errors

%>

Displaying Data (Kuonesha data)

Raha ya PHP ni kuwa kuna built in function zaidi ya 1000, na muda huu tutajifunza mbili ambazo tutatumia kudisplay data

1. echo
Hii inaweza tumika bila mabano au na mabano
Mfano

PHP:
<%php

echo "KijijiForums";
echo("KijijiForums");

%>

2. print
Hii inaweza tumika bila mabano au na mabano
Mfano

PHP:
<%php

print "KijijiForums";
print("KijijiForums");

%>

echo na print ni sawa utofauti wao ni kuwa echo can take multiple parameters na haina return value, alafu print inatake only one argument na inareturn value ya 1

Kanuni za kuandika program na PHP
1.Function name are note case sensitive
Mfano
echo
ECHO
EcCho
Zote zinaweza fanya kazi
2.Lazima uterminate kwa kuweka ; mwisho wa statement

See u next time
 

Hakimu

Immortal Village Hero
KF Founder
KF Moderator
Joined
Jun 3, 2023
Messages
2,711
Reaction score
6,226
Points
113
Due to muamko mdogo nasitisha mpaka pale nitakapo pata muhamko
 

Hakimu

Immortal Village Hero
KF Founder
KF Moderator
Joined
Jun 3, 2023
Messages
2,711
Reaction score
6,226
Points
113
lengo ni kupiga hela au unafanya kama hobby tu
Kama hobby tu ili kuwarahisishia watu kuelewa kwa lugha ya kiswahili (nitaeleza in deep na nitakuwa na vipande vipande chini ya 30 min labda kwa projects na small exercise ndogondogo
 

Hakimu

Immortal Village Hero
KF Founder
KF Moderator
Joined
Jun 3, 2023
Messages
2,711
Reaction score
6,226
Points
113
huwezi kupata views za kukuingizia hela kupitia tutorials aisee... haina soko kabisa bongo, fanya kama hobby itakua kama una practice, utaongeza ujuzi
Ningekuwa Sina ujuzi nisinge fanya Ila Kuna wengi wanatamani kujifunza Ila hawaelewiiiii kuanzia week ijayo nitaaanza kurekodi video nitatafuta programu nzuri kwa kurekodi na sura yangu itaonekana KWENYE KILA video, pia nitatengeneza playlist ili kutofautisha na utakuwa easy way to learn ever
 

mshamba_mkuu

New member
Joined
Jun 4, 2023
Messages
1,563
Reaction score
4,525
Points
0
Ningekuwa Sina ujuzi nisinge fanya Ila Kuna wengi wanatamani kujifunza Ila hawaelewiiiii kuanzia week ijayo nitaaanza kurekodi video nitatafuta programu nzuri kwa kurekodi na sura yangu itaonekana KWENYE KILA video, pia nitatengeneza playlist ili kutofautisha na utakuwa easy way to learn ever
sio lazima uweke sura, wewe screen record tu, kuna software inaitwa OBS studio, itakusaidia.... audio sijui utarecord vipi, nunua usb mic kama utaweza

kinachobaki ni kuedit kidogo utajifunza kidogo kidogo na kutengeneza zile thumbnails utajifunza kwenye photoshop kidogo
 

Hakimu

Immortal Village Hero
KF Founder
KF Moderator
Joined
Jun 3, 2023
Messages
2,711
Reaction score
6,226
Points
113
Kwani pc si ina mic au?
 

Similar threads

Hello, Kama unataka kujifunza kubeti au kuingia kwenye betting industry... Aka MIKEKA... basi uzi huu ni wako.. Nitakuelekeza hatua kwa hatua na kama una swali uliza.. Kumbuka hapa nitaongelea tu betting ya kwenye SOKA (football) Kubeti ni nini? Kubeti ni kubashiri , (matokeo au hata...
Replies
16
Views
915
Wahenga Walisema AKIBA HAIOZI. Simamia matumizi bora ya fedha zako, kujenga maisha yako. Kuweka akiba ni moja ya matumizi mazuri ya kuhifadhi fedha yako. Wengi hudhania kuweka akiba ni lazima uwe na kipato kikubwa, lakini ukweli ni kwamba kuweka akiba ni maamuzi. Weka angalau 5% - 40% kwenye...
Replies
11
Views
285

Donations

Total amount
$0.00
Goal
$300.00
Back
Top Bottom