Looks like you don't have an account yet? Be apart of something great, join today! Create account to get more access like posting, reacting to others helpful post and your own private message Register Or Login
Sijui anaitwa nani ila siku hizi naona anatrend sana kwenye status za watu , stickers nk halafu jamaa comedy zake haongei na code zake za mavazi zilezile.
Mficha maradhi kifo humumbua, nateseka naumia sana toka niachane na ex wangu. Tulikuwa na uhusiano miaka 2 iliyopita, baada ya kufuma message WhatsApp namtongoza msichana mmoja hivi mtaani akavunja mahusiano.
Kifupi tu yule msichana wa mtaani sio kuwa nilimpenda. Si mnatambua ndugu zangu kuwa...
Nina kaproject kangu hapa simple ila nakula bags kama uchafu, nafix ila sometime sipati syntax error ila logical error na hii ni ngumu kufix sababu computer haiwezi ditect hii error naomba kupumzika kesho ninapepa huuuuu!
Wataalamu nani nimtumie sourcecode anifanyie manuva?
Hali hiyo inaweza pia kusababisha mashambulizi ya hofu, ambayo kwa kawaida hujumuisha baadhi ya dalili zifuatazo za kimwili:
Kutokwa na jasho sehemu kubwa ya mwili
Maumivu ya kifua
Kichefuchefu au usumbufu wa tumbo
Ugumu wa kupumua au kuhisi pumzi inakata
Kizunguzungu au kuzirai
Mapigo ya moyo...