Kuna haja ya kupima DNA watoto?

Welcome to our community

Looks like you don't have an account yet? Be apart of something great, join today! Create account to get more access like posting, reacting to others helpful post and your own private message Register Or Login

Kondeni0112

KF President
Platinum Villager
Joined
Jul 3, 2023
Messages
1,897
Reaction score
3,986
Points
113
Habari ndugu zangu
Kuna haja ya kupima DNA watoto ulio walelea na kuishi nao kama watoto wako kweli? Kwa upande wangu naona sio sawa, kama umehisi mtoto sio wako unakausha tu, kuna watu wengi wameadopt watoto na wana amani telee..

Watu wanadai sababu inayofanya wa wafanye DNA test ni ili wasiwe wanalea mtoto wa mwanaume mwingine ambaye anaweza kuja kudaiwa baadaye,

Ila wanasahau maumivu na madhara watakayo ya pata baada ya kujua ukweli. Achana na hayo mambo mtoto ni mtoto...

Hivi nanyie wamama mnanini lakini?.
 

Gily

KF Founder & Dragon IGM
KF Founder
KF Moderator
Joined
Jun 4, 2023
Messages
7,609
Reaction score
26,404
Points
113
Naamini familia sio lazima itoke kwenye damu yako. Ingawa naweza ku asili mtoto nikalea kama watu, siwezi vumilia usaliti wa kuletewa watoto ndani ya nyumba
 

Similar threads

  • Question Question
Wanandoa kuna haja mke, au mume wako kujua unaingiza shingapi? Na kwa marafiki vipi kumwambia rafiki yako hela ngapi unaingiza ni sawa?
Replies
9
Views
213
Je katika mchoro huu kuna pembe tatu ngapi?
Replies
3
Views
307
Wakuu mko gud? Mimi niko gudi kabisa na mshukuru muumba wa mbingu na nchi niko mzima, na nina furaha na amani, nmeshiba, na nina kama afu kumi na tatu za kenyA mfukoni😊 Najua mpaka hapa nitakua nimeshakwaambukiza ka furaha na ka amani kwa wote ambao hamko sawa😀 Kumekuwa na misemo ya hekima...
Replies
9
Views
457
Habari ndugu zangu . Nikiwa hapo ulipokuwa baada ya mimi kuja kufanya umbea wangu nilikuonea huruma sana mzee mwenzangu . Mdomoni unaonekana mwamba ila sura na sauti vilinionesha kuwa unajuta ila hautaki kukubali . Siku kadhaa ulizokaa kaka yangu umetoka umekongoroka kama sio wewe . Aisee...
Replies
15
Views
455
Wanaume wengi waliooa hawapendezwi na urafiki kati ya wake zao na wanaume wengine. Wengine wanaenda mbali sana kukataza wake zao wasijichanganye na wanaume. Wanawake walio kwenye ndoa wengi wanajikuta marafiki zao wakubwa ni mashemeji zao na ndugu zao. Japo wanajichanganya na wanaume hukuti...
Replies
11
Views
293

Donations

Total amount
$0.00
Goal
$300.00
Back
Top Bottom