- Jul 3, 2023
- 1,897
- 3,986
- 113
Habari ndugu zangu
Kuna haja ya kupima DNA watoto ulio walelea na kuishi nao kama watoto wako kweli? Kwa upande wangu naona sio sawa, kama umehisi mtoto sio wako unakausha tu, kuna watu wengi wameadopt watoto na wana amani telee..
Watu wanadai sababu inayofanya wa wafanye DNA test ni ili wasiwe wanalea mtoto wa mwanaume mwingine ambaye anaweza kuja kudaiwa baadaye,
Ila wanasahau maumivu na madhara watakayo ya pata baada ya kujua ukweli. Achana na hayo mambo mtoto ni mtoto...
Hivi nanyie wamama mnanini lakini?.
Kuna haja ya kupima DNA watoto ulio walelea na kuishi nao kama watoto wako kweli? Kwa upande wangu naona sio sawa, kama umehisi mtoto sio wako unakausha tu, kuna watu wengi wameadopt watoto na wana amani telee..
Watu wanadai sababu inayofanya wa wafanye DNA test ni ili wasiwe wanalea mtoto wa mwanaume mwingine ambaye anaweza kuja kudaiwa baadaye,
Ila wanasahau maumivu na madhara watakayo ya pata baada ya kujua ukweli. Achana na hayo mambo mtoto ni mtoto...
Hivi nanyie wamama mnanini lakini?.