Looks like you don't have an account yet? Be apart of something great, join today! Create account to get more access like posting, reacting to others helpful post and your own private message Register Or Login
Waraaaaaaap
I will write a sentence and you create a sentence with the last word. The next person also start his/her sentence with last word also and so the others that follows
Naandika sentensi kisha unaccoment kwa kuanzia na neno la mwisho nililoandika kwenye sentensi. Na wanakijiji wengine...
Ni saa kumi na mbili jioni na Kelvin Masumba amekutwa ameuawa. Hata hivyo hakuna muuaji aliyepatikana.
Lakini polisi walipata mashahidi. Kulikuwa na watu wengine 5 ndani ya nyumba wakati wa mauaji ya Kelvin.
Ushahidi uliotolewa:
1. Mpishi alisema alikuwa akipika chakula cha jioni.
2. Mtunza...
Binti Mwajuma anahudhuria mazishi ya mama yake. Akiwa huko, anakutana na mmwanamume mzuri ambaye hajawahi kumuona na kujikuta anampenda ghafla.
Baada ya mazishi anajaribu kumtafuta lakini hakuweza. Siku kadhaa baadaye anamuua dada yake. Kwa nini anamuua dada yake?
Mrs Ludovick ni mwalimu wa darasa la tano. Mmoja wa wanafunzi wake aliiba kitabu chake. Mrs Ludovick amejua washukiwa watakuwa ni John, Ahmed na Amina. Alipowauliza kila mwanafunzi kama wameona kitabu chake kila mmoja alitoa kauli hizi:
John: Sikuiba mimi
Ahmed: Sijachukua kitabu chako...