Malezi mabovu

Welcome to our community

Looks like you don't have an account yet? Be apart of something great, join today! Create account to get more access like posting, reacting to others helpful post and your own private message Register Or Login

Kondeni0112

KF President
Platinum Villager
Joined
Jul 3, 2023
Messages
1,897
Reaction score
3,986
Points
113
Moja kwa zote kwenye mada👇
1. Unakuta kwenye familia kuna vitu maalumu(vizuri) kama saani au vikombe, ambavo hivi ni kwa ajili ya wageni na vina kaa kabatini.. uruhusiwi muvigusa utapigwa uuwawe...
Tabia hii ni mbaya maana unawajengea watoto wako, kujiona duni... Pesa unatafta kwa ajili ya watoto wako acha wa enjoy...
2. Nguo na chakula. sio vizuri watoto(familia) kula au kuvaa vizuri kwa msimu wa sikukuu tu..(Chrismass, new year), hii inapelekea watoto kujidharau na kudanganyika na vitu vidogo pale wanapokua mbali na wazazi. mfano kuongwa chips, sim n.k

3.Kunyimwa kucheza na wenzake (muda wote ndani) hii ni mbaya jamani, mtoto anakosa kabsa ujasiri wa kujieleza, au kutoa hoja anapokuja kuwa kijana...

5. Kunyima/kuzuia mtoto kueleza hisia zake, kuchoka, furaha, matamanio,.. kutotaka mtoto kutochangia jambo lolote katika familia ni kumdumaza akili asiwe na ugunduzi... kuna watoto wamefanyiwa ukatili lakini wanaogopa kusema..

Karibu utoe mchango wako ili tuwe na familia na taifa bora...
 

The great manenge

New member
Platinum Villager
Joined
Jul 8, 2023
Messages
1,320
Reaction score
2,995
Points
0
Zamani vitu hivyo vilikuwa ghali ila now days watoto wanatumia viombo vya kioo.
Kama unauwezo unawawekea watoto wako kila kitu kwako hakuna kutoka nje maana mtaani vitoto vidogo vina haribu wenzao
Sasa hivi sio kama zamani watoto wanajua mambo mengi kuliko wazazi wao, hata huko mashuleni wanajifunza kujieleza
 

Kondeni0112

KF President
Platinum Villager
Joined
Jul 3, 2023
Messages
1,897
Reaction score
3,986
Points
113
Zamani vitu hivyo vilikuwa ghali ila now days watoto wanatumia viombo vya kioo.
Kama unauwezo unawawekea watoto wako kila kitu kwako hakuna kutoka nje maana mtaani vitoto vidogo vina haribu wenzao
Sasa hivi sio kama zamani watoto wanajua mambo mengi kuliko wazazi wao, hata huko mashuleni wanajifunza kujieleza
ila inapaswa wajifunzie nyumbani
 

February girl

New member
Platinum Villager
Joined
Jul 5, 2023
Messages
82
Reaction score
265
Points
0
Moja kwa zote kwenye mada👇
1. Unakuta kwenye familia kuna vitu maalumu(vizuri) kama saani au vikombe, ambavo hivi ni kwa ajili ya wageni na vina kaa kabatini.. uruhusiwi muvigusa utapigwa uuwawe...
Tabia hii ni mbaya maana unawajengea watoto wako, kujiona duni... Pesa unatafta kwa ajili ya watoto wako acha wa enjoy...
2. Nguo na chakula. sio vizuri watoto(familia) kula au kuvaa vizuri kwa msimu wa sikukuu tu..(Chrismass, new year), hii inapelekea watoto kujidharau na kudanganyika na vitu vidogo pale wanapokua mbali na wazazi. mfano kuongwa chips, sim n.k

3.Kunyimwa kucheza na wenzake (muda wote ndani) hii ni mbaya jamani, mtoto anakosa kabsa ujasiri wa kujieleza, au kutoa hoja anapokuja kuwa kijana...

5. Kunyima/kuzuia mtoto kueleza hisia zake, kuchoka, furaha, matamanio,.. kutotaka mtoto kutochangia jambo lolote katika familia ni kumdumaza akili asiwe na ugunduzi... kuna watoto wamefanyiwa ukatili lakini wanaogopa kusema..

Karibu utoe mchango wako ili tuwe na familia na taifa bora...
3. Ni vyema mzazi kujua watoto wengine wanaocheza na mwanao, dunia imebarilika sana watu wanaharibu watoto wakiwa bado wadogo.
 

Urban Edmund

New member
Platinum Villager
Joined
Jun 26, 2023
Messages
636
Reaction score
1,321
Points
0
Kumlea mtoto katika misingi ya kumjua Mungu na pia kumweleza mtoto kwanini anasoma na umuhimu wa kusoma sio kumtishia kwamba usiposoma utakuwa na maisha magumu nk
 

Donations

Total amount
$0.00
Goal
$300.00
Back
Top Bottom