Matokeo ya kidato cha sita mwaka 2023

Welcome to our community

Looks like you don't have an account yet? Be apart of something great, join today! Create account to get more access like posting, reacting to others helpful post and your own private message Register Or Login

Urban Edmund

New member
Platinum Villager
Joined
Jun 26, 2023
Messages
636
Reaction score
1,321
Points
0
Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) imetangaza matokeo ya kidato cha sita mwaka 2023 huku yakionyesha ufaulu wa jumla umeongezeka kwa asilimia 0.26 ikilinganishwa na mwaka jana 2022.

Jumla ya watahiniwa waliosajiliwa kufanya mtihani ni 106, 883 huku wasichana wakiwa ni 47, 340 na wavulana 59, 543.

Jumla ya watahiniwa 104,549 sawa na asilimia 99.23 ya watahiniwa waliofanya mtihani wa kidato cha sita 2023 wamefaulu. Wasichana waliofaulu ni 46,707 sawa na 99.51% huku kwa upande wa wavulana, waliofaulu ni 57, 843 sawa na 99%.

Mwaka 2022 waliofaulu walikuwa 93,136 sawa na 98.97% hivyo ufaulu wa jumla umeongezeka kwa 0.26% ikilinganishwa na mwaka 2023.

Link matokeo bonyeza hapa 👇👇
 
Last edited by a moderator:

Omo baba lowo

New member
Platinum Villager
Joined
Jun 5, 2023
Messages
383
Reaction score
946
Points
0
Mmmh madogo wamefaulu sana how comes.

Mi niliwaacha vilaza sana aseee.

Mwaka wetu 2022 ilikuwa hiviScreenshot_20230714-134231~2.png


Mwaka wao huu ni hivi Screenshot_20230714-134142~2.png


Anyway tuna div 3 chache kuliko wao hivyo wao ni vilaza zaidi yetu
 

Gily

KF Founder & Dragon IGM
KF Founder
KF Moderator
Joined
Jun 4, 2023
Messages
7,609
Reaction score
26,404
Points
113

Similar threads

Wadau, Bila shaka tumeona 99% ya waliofanya mtihani wamefaulu, Ufaulu wa juu kuliko miaka yote je? Walimu wapewe Maua Yao!? Wanafunzi wapewe kongole? Au Baraza la mitihani kwa kutunga mtihani mzuri? Au tuipongeze serikali?
Replies
9
Views
260
Nawasalimu, alafu moja kwa moja kwenye mada. Mungu amekuwa akikuonyesha kibali kila siku, je, unashukuru vya kutosha kwa kuona hivyo? Je, unaweza kuona hata ishara ndogo kabisa ya uaminifu Wake katika maisha yako? Siri ya kuwa na maisha utele ni kushukuru...... Yesu alipoinua ile mikate 5...
Replies
6
Views
402
Wakuu ni fresh? Nimeandika uzi huu kwasababu jamaa yangu anasumbuliwa sana na mke wake kisa tu ni mjamzito.... Kwa uchunguzi wangu mdogo nmeona kama raha ni chache kuliko mazala yanayo wapata watu katika kipindi hiki. Wanaume wamekuwa wakipata usumbufu sana kutoka kwa wenza wao ikiwemo...
Replies
11
Views
459
Kwa Nini Levina Alijiua ? Katika toleo la Sauti ya Siti lililochapishwa mwanzoni mwa 1990, mwanahabari Chemi Che-Mponda alielezea kushindwa kwa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kujibu malalamiko ya mara kwa mara ya Levina ya unyanyasaji wa kijinsia na kifo chake cha kujiua. Shangazi yake Levina na...
Replies
4
Views
251
Sayansi inatuambia kuwa kinadharia tunaweza kusafiri nyuma ya wakati au mbele ya wakati. Hii nadharia unaweza ukasafiri ukarudi miaka ya nyuma au kwenda miaka ya mbele. "Special and general relativity, suggest that suitable geometries of spacetime or specific types of motion in space might allow...
Replies
26
Views
533

Donations

Total amount
$0.00
Goal
$300.00
Back
Top Bottom