Looks like you don't have an account yet? Be apart of something great, join today! Create account to get more access like posting, reacting to others helpful post and your own private message Register Or Login
Sijui anaitwa nani ila siku hizi naona anatrend sana kwenye status za watu , stickers nk halafu jamaa comedy zake haongei na code zake za mavazi zilezile.
MWANZO
Huu ni mkasa wangu ulionikuta baada ya kuhamishwa kutoka kigoma to dar es salaam early 2004s
Baada ya kumaliza kazi zangu za kila siku ni kawaida yangu kutembelea kijiwe kwaajili ya kupata mawili matatu kutoka kwa watu mbalimbali wa rika tofauti lengo ni kutokua mpweke pia ku refresh...
Wanakijiji amani ya Mungu iwe nanyi
Naomba msaada kwa ajili ya mtoto huyu wa mjomba. Kwanza mjomba alizaa na mwanamke wa kichagaa wakaachana sababu sifahamu kwani nilikua mdogo kiasi.
Sasa baadae mjomba akaja kuoa mwanamke mwingine wa kichaga ambae yupo bae mpaka sasa.
Msaada ninao taka kutoka...
Kupitia picha hii ya eneo la tukio kama mpelelezi unaweza toa hitimisho lipi juu ya mauaji?
Ushahidi wa tukio zima utaupata kutoka kwenye
Barua ya wosia kabla mauti haijamkuta
Mkono wa kulia ameshika bastola
Mkono wa kushoto ameshika sigara
Ukutani kuna soketi ya umeme
Je marehemu...